Simple_just ask them.Bado sijapata jibu kuhusu hii kitu. Kwa muda sasa kumekuwa na hii kitu mjini dodoma. Nyakati za jioni kunakuwa na wakina dada wengi 'wanajianika' eneo la Nyerere Square mijni dodoma.
Nilichogundua, wengi wa hao ni wanafunzi wa vyuo vikuu vya hapa mjini. Ukizingatia kwa sasa vyuo vingi vinafundisha hadi wakati wa usiku, sasa sielewi, muda mwingi wanaokaa eneo hili lengo lao hasa ni lipi na je ni wakati gani wanajisomea?
Pasonoishuzi!!!!!!!Bado sijapata jibu kuhusu hii kitu. Kwa muda sasa kumekuwa na hii kitu mjini dodoma. Nyakati za jioni kunakuwa na wakina dada wengi 'wanajianika' eneo la Nyerere Square mijni dodoma.
Nilichogundua, wengi wa hao ni wanafunzi wa vyuo vikuu vya hapa mjini. Ukizingatia kwa sasa vyuo vingi vinafundisha hadi wakati wa usiku, sasa sielewi, muda mwingi wanaokaa eneo hili lengo lao hasa ni lipi na je ni wakati gani wanajisomea?
Asante kwa taarifa! and where is Kaizer.........................aisee mtoa maada welcome to Idodomya! Dah sijapita siku nyingi hapo ingawa ni mita chache tu kutoka shambani kwangu.....................nashukuru kwa taarifa!
Bado sijapata jibu kuhusu hii kitu. Kwa muda sasa kumekuwa na hii kitu mjini dodoma. Nyakati za jioni kunakuwa na wakina dada wengi 'wanajianika' eneo la Nyerere Square mijni dodoma.
Nilichogundua, wengi wa hao ni wanafunzi wa vyuo vikuu vya hapa mjini. Ukizingatia kwa sasa vyuo vingi vinafundisha hadi wakati wa usiku, sasa sielewi, muda mwingi wanaokaa eneo hili lengo lao hasa ni lipi na je ni wakati gani wanajisomea?
ngoja nipite huko leo nione hivyo wanajianika.
duh! wee ni noumaa!kawaaanue ,.wanyooshe,wakunje& waweke kabatini
kawaaanue ,.wanyooshe,wakunje& waweke kabatini