Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Hata Dr slaa mlimuita msaliti na matusi ya kutosha mlimtukana lakini tangu ameondoka hali ya chadema inazidi kudhoofika kila siku, hata nafsi zenu mnajua pale mlikosea,hawa nao watukaneni muwezavyo lakini mjue chama ndo kinaelekea kibra hivyo, na wala msiamini chadema itakuja kuwa na nguvu tena kwa aina ya viongozi kama Mnyika, salum mwalimu sijui kigaila mtaendelea kufanya harakati na sio siasa za kuchukua dora.
kujinasua vp, maisha sio siasa tu.kila sehemu wamebanwa, hapo wako kimya wanafanya mipango jinsi ya kujinasua
😆😆😆Hebu jirekodi afu jisikilize
Huko kwenu nasukia ili uwe mbunge wa viti maalumu Kama siyo hawala,basi dada,shemeji,mke au unauziwa kwa dau zuri .Eti kamati kuu ,nyoooooooo... Chadema itapata wapi kamati kuu,kikundi cha wahuni kinajiita Kamati kuuMaCCM hovyo sana, Mnaongea sasa, Wameunga juhudi ila mlitaka kutuletea mambo yenu ya kichawi mliowafanyia CUF.
FUKUZAAA..! waende huko kwenye kutapanya kodi zetu, wakale vya haramu.
Chadema hiyo hiyo,kwani Chama Ni Cha kwako wewe na familia yako au ukoo wakoWakiwa Wabunge wa chama gani cha siasa?
sasa unalia nini ?Huko kwenu nasukia ili uwe mbunge wa viti maalumu Kama siyo hawala,basi dada,shemeji,mke au unauziwa kwa dau zuri .Eti kamati kuu ,nyoooooooo... Chadema itapata wapi kamati kuu,kikundi cha wahuni kinajiita Kamati kuu
Utakua una amanisha Magufuli na yule aliepata kura3 za viti maalum, na sasa mbunge, Keby hotell kapewa.Huko kwenu nasukia ili uwe mbunge wa viti maalumu Kama siyo hawala,basi dada,shemeji,mke au unauziwa kwa dau zuri .Eti kamati kuu ,nyoooooooo... Chadema itapata wapi kamati kuu,kikundi cha wahuni kinajiita Kamati kuu
Hivyo ndivyo ulivyofundishwa shuleni? We subiri uone siasa ilivyo katika uwanja halisi. Ufahamu kanuni za uraiani zikoje. Mnasumbua watu na utoto wenu bure. Umeyaona Sasa eenh??Kanuni za vyama na ajira, usipotii wito wa mkuu wako unaweza ukafukuzwa uanachama au kazi.
Wabunge wa Ndugai & CoCha ajabu ni kwamba kila wanachopanga kuongea kinavuja !
Na wataendelea kwenda bungeni ?Hii ndio Taarifa ya sasa iliyozagaa kila mahali, Halima Mdee na waliomtuma wameshindwa kujibu mapigo kama walivyoahidi kutokana na kukosa hoja ya kupangua mawe mazito yaliyotupwa na Kamati kuu baada ya kuwavua uanachama.
Badala yake kunafanyika maandalizi ya kuhamia CCM kama alivyotanabaisha Bashiru kwenye vikao vya CCM huko Dodoma, pale alipowakaribisha ndani ya CCM.
Usaliti ni laana
Kinachoniumiza zaidi hao wa mama wote isipokuwa Bulaya ni zao la CHADEMA.Halima na baadhi yao hata kubali kujiunga Ccm. Bali watarudi kuomba radhi..
What about Dr.slaa,Sumaye,Lowasa,Silinde na wengine weeengi...walikuwa wanawake?!If that move (going to sisiem) is true, then Halima would strip off her political clothes to become naked.
History has it that; women have been political and spiritual traitors, eg Eve vis a vis Adam, Delila vis a vis Samson, Bibi Titi vis a vis Nyerere etc. Do not trust wonen fully.
Tuishi nao kwa akili, imesema Biblia.
What about Dr.slaa,Sumaye,Lowasa,Silinde na wengine weeengi...walikuwa wanawake?!
Mjomba hizo story za vijiweni achana nazo,Vyovyote itakavyokuwa, kwa hizi sarakasi zenu na kina COVID-19 rafiki zetu wazungu wanawaangalia kwa dharaaaau.
Watakapokata miamala ya misaada na mikopo, wakaziba mifumo yenu ya exports/imports na kukata supplies za spea za bombadia ndiposa anayejua atajulikana na asiyejua atajulikana!
Ni dhambi kumlaumu Mhe.Ndugai kwani siye aliyewafukuza amepokea majina kutoka tume ya Taifa ya uchaguzi Nec na Nec wamesema wazi walipewa majina na Chadema yaliyosainiwa na Katibu Mkuu Mnyika, kumbuka wewe umesikiliza taarifa ya upande mmoja iliyotilewa na Mbowe na kila wanapojaribu kukupa ufafanuzi Wakina mhe Ndugai na Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi hutaki kuamini Sasa subiri na wakina Halima Mdee na wenzake wakupe taarifa ya jinsi mchakato mzima ulivyokuwa mpaka upatikanaji wao baada ya hapo utaelewa somo vinginevyo utakuwa kilaza yani utakuwa una matatizo kichwani au utakuwa mbishi tu kwa sababu unapokea posho ya Chadema kwa ajili ya kutetea ukiukwaji wa katiba,Sheria,miongozo na itifaki ya Chadema katika kuwafukuza na kuwavua uanachama wakina Mdee. Sasa kwa kuwa tatatibu za kisheria hazikufuatwa tegemea nginja nginja mpaka kitaeleweka.Kinachoniumiza zaidi hao wa mama wote isipokuwa Bulaya ni zao la CHADEMA.
CHADEMA kimetumia nguvu kubwa sana kuwaandaa hawa kina mama na kuwa wanasiasa wenye tija kwa taifa halafu career zinaharibiwa na mtu mjinga mjinga kama Ndugai tu.
Msijitoe ufahamu kumbuka uchaguzi mkuu wa mwaka 2015,Aliyekihujumu Chama alikuwa Mbowe kwa kumleta Lowasa kuwa Mgombea wa Chadema akashinikiza kwenye kikao kwa sababu alikula mlungula wala hamkuhoji na mumchukulia hatua Mbowe ndiye alikuwa msaliti kwa kuuza Chama mpaka Dr Slaa wakati huo akiwa katibu Mkuu alipoamua kutoka na kusema adharani upuuzi wote uliofanywa na M/kiti wa Chadema Mbowe.Pamoja na kujua ukweli mpaka Sasa Chadema haijawahi kumchukulia hatua Mbowe sasa bado amezidi kuivuruga Chadema mko kimya .Mimi siongelei juu ya mtu aliyehama chama, nazungumzia juu ya mtu aliyekuwemo ndani ya chama na akakihujumu chama akiwemo ndani, huyo ndiye msaliti.
Wakati mwingine jaribu kutafakari kabla ya kuhororoja usiyoyafahamu.Mimi siyo CDM,sina uhusiano wa sina yoyote na hicho chama kwa sasa ila mnawalazimishia CDM wabunge?Ubunge unatokana na vyama,CDM wamewafukuza uanachama kina Mdee,bado wanastahili kuwa Wabunge?Usikute umechanganya files.Chadema hiyo hiyo,kwani Chama Ni Cha kwako wewe na familia yako au ukoo wako
Msaliti na mhujumu mkubwa wa Chadema Ni M/kiti Mbowe a.k.a YUDA , huyu jamaa ni hatari sana kwa maendeleo ya Chadema vinginevyo apigwe chini.Fuatilia kwa kina utathibitisha maneno yanguMimi siongelei juu ya mtu aliyehama chama, nazungumzia juu ya mtu aliyekuwemo ndani ya chama na akakihujumu chama akiwemo ndani, huyo ndiye msaliti.