Kujichua/puli ( musterbetion)

Joined
Jun 24, 2013
Posts
37
Reaction score
1
Jaman wana JF msaada please!!
Nimekuwa nikijichua zaidi ya miaka 6 (sita), na sasa sina nguzu kabisa za kiume na zaidi kutokana na tabia yangu hiyo nimekuwa mwoga kila sekta nataman kuacha lakin mara nyingi huwa nashindwa, kwa ukwele sasa sina hamu ya mwanamke tena ndo nawaogapa kinomah,Naomba mnisaidie niweze kuacha ili niwe kama wanaume wengine, nimekuwa msaarifu si kumbuki vitu ambavyo navifanya hata kidogo,kutokana tabia hii nimefeli mithani, kwani sina uwezo wa kutunza kumbukumbu kitu nikikisoma nikifunika daftari kimepotea. Umri wangu ili bidi niwe na mke lakini kwa bahati mbaya siwezi. Jaman wana JF mnisaidie angalau baada ya miaka miwili au mitatu kwa njia ambozo mtanipa niweze kuwa na kuwa kama zamani.

Majibu yenu ndio kupona kwangu
asante
CHEUPE
 
Last edited by a moderator:
Josefina tangu lini akawa mwanaume???
 
hmm anyways.. Huku kuna nyuzi nyingi mno kuhusu puchu.em gugo kijf jf utapata na shuhuda kedekede za ex- chaputa!(chama cha puli/puchu tz)
 
Pole sana. Ni vizuri umetambua tatizo na umekiri kwamba lipo. Hiyo ni sawa na kuishinda vita kwa 50%. Lakini Jina lako na story yako vina utata. Maana unasema huna hamu na wanawake ili hali wewe ni Josephina. Naomba unyooshe maelezo watakuja kukusaidia wataalamu wa saikolojia.
 
Sawa Josephina, tuendelee kusubiri wataalamu watakuja kukusaidia zaidi
 
Pole sana,hii kitu kiukweli ni mbaya sana na ina madhara mabaya lakini wataalamu wa afya hawayaweki wazi kiviile ndio maana vijana wamekuwa wakidhurika kila kukicha'ushauri wangu ni kuwa jihusishe sana na michezo na kuacha tabia ya kupenda kukaa peke yako muda mwingi.
 
Last edited by a moderator:
Ni akili yako tu inakutuma hivyo punyeto halina madhara yeyoye kuhusiana na nguvu za kiume tafuta popote kwa wataalamu watafiti no nothing
Saikolojia ndio inakutuma hivyo tayari umeathirika kwa sababu umewahi sikia story mtaani kuwa punyeto linapunguza nguvu za kiume
 
Kuna umuhimu wa kuanzisha jukwaa la kujichua maana kesi haziishi kila kukicha.
 
Joseee.....finaa....
Ni yule musichana, anang'ara kama nyota....
 
Ukitaka kurudi nguvu zako za kiume kama zamani tembelea hapa bonyeza [h=1]Topic: Dawa za Nguvu za Kiume kwa anayetaka![/h]
 
Pole saana CHEUPE Josephina,

Ushauri sahihi ni huu hapa: Nenda hospital, mwone daktari, utapimwa, na hope utapewa tiba sahihi. Mimi nilisumbuka saana, niliibiwa hela, nililishwa pumba nyingi mnooo. Sikupata tiba. Hata waganga wa HUMU JF nao nilikula pumba zao, lakini sikuwa/sikupata tiba. Soma hapa Chini:

https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/391345-ushuduhuda-upungufu-wa-nguvu-za-kiume-tiba-halisi.html

[h=2]Ushuduhuda: Upungufu wa Nguvu za Kiume - Tiba Halisi[/h]
Ndugu Zangu wanaJF poleni na Mihangaiko ya kila mara na haya na yale yanayoendelea humu kwetu. ni upepo utapita tu.

Mwaka jana nilipost humu jamvini thread kuomba msaada wa tiba ya nguvu za kiume. Kwa kweli ni tatizo lililonisumbua kwa muda mrefu. Sikuwa naweza hata kusimamisha kwa dakika. Kabla ya kuja jamvini nilikuwa nimetembea kwa waganga wengi mnoooo. Nilikula dawa zao za kutosha. Nilienda Mwanza, Arusha, Mbeya, Kenya, DSM, Dom na kwingine kwengi tu. Sikupata hata nafuu kidogo. Nilipokuja humu jamvini nilipata ushauri na hata waganga wengine walinialika nitumie dawa zao kwa kunihakikishia kuwa ni tiba sahihi kwa 100%. Sitawataja kwa sababu ya maadili na kwa kuwa wako kazini na kwa kuwa nimekujatoa ushuhuda. Ukweli ni kuwa nimenunua hizi dawa za hawa waganga nyingine kwa Tshs, USD, rand n.k na nilizitumia kwa uaminifu mkuwa kabisa. Tofauti na nilivofikiri kwa kweli ckupata nafuu hata kidogo.

Kuna jamaa mmoja alinitonya kuwa nenda hispital umwone Dr wa hiyo issue yako. Niliamua kwenda MNH ingawa kwa aibu kubwa mnooo. Wakati najieleza Dr alikatisha maelezo yangu akaniuliza km nna sukari, pumu, k/kikuu nk. Nikamwambia hapana, tatizo langu ni hili hapa. Akaniambia kapime hivi haafu ulete majibu, ckujua ninini. Nilienda kwa vipimo nikachukuliwa damu baada ya muda nikapewa majibu na nikauliza walipima nn. Mtaalamu wa vipimo akaniambia alipima hormones mwilini bac nikarudi kwa dr. Dr baada ya kupitia majibu akaniambia hormones za kiume (testosterone) zimeshuka. Nikamwambia sasa? Akajibu zipandishe. Akaniandikia dawa za miezi mitatu. Kwa kweli nilitumia dawa kuanzia mwezi August 2012 na kufikia september mambo yalianza kubadilika kabisa na mpaka sasa natoa ushuhuda mm ni mwingine kabisa. Sasa nazingatia mlo na mazoezi (gym).

Ushauri wangu kwa wengi wenye hii issue ni kuwa nendeni hospital mkajue ni nni hasa tatizo ndo muanze tiba. Najua Waganga wa humu JF hamtaipenda hii lakini tukubali ukweli, ili watu wasipoteze muda na pesa nyingi km mm nilivofanya.

Yeyote anaetaka maelezo zaidi an-PM.

Mudushi​



 
Cha ajabu mleta maada kakimbia. kwani uliaanza lini mchezo huo, je unakaa na nani? na unafanya kazi wapi? Kama bado upo kwenye maada jibu haya maswali yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…