Kujichua/puli ( musterbetion)

Cha ajabu mleta maada kakimbia. kwani uliaanza lini mchezo huo, je unakaa na nani? na unafanya kazi wapi? Kama bado upo kwenye maada jibu haya maswali yangu.

multiple ID's zimemsumbua kidogo
 
Kuna mmoja alipewa dawa na mganga kienyeji jamaa alipotumia korodani zote zilioza
 
inabidi kwanza josephina afunguke ili kuwatoa shaka wachangiaji kuhusiana na uhalisia wa jinsia ukilinganisha na jina lake!! ila punyeto unaweza kuacha kama tu utaondokana na hali ya upweke!
 
mkuu, kama ulivyokuwa muoga wa wanawake, basi naomba uwe muoga wa puli pia..

kuhusu man power , kuna vyakula vingi tu madaktari wa jf walishaongea humu.. ikiwemo parachichi, ndizi nk..

jaribu ku-google uki-relate na jf.. utapata mkuu..

kupiga puli ni kubaya sana... aibu tupu utakapokutana na mwanamke kunako bedi..
 
Me mbona bado napiga puli toka 2001 na nina watoto 2 mpaka sasa na sioni madhara yake kama show nasimamia vizur
 
Polesana mkuu,mara nyingi madhara ya kupiga nyeto ndo pamojana na hayokupunguza uwezo wa kufikili na kufuta kumbukumbu mhimu,Ninachokushauli ni kwamba cha kwanza inatakiwa ulikubali tatzo kisha kubali tiba ili upone.je kwa siku huwa unapipa nyeto mara ngap?mchezo huo huawa ni hatarisana,nakushauli uache mara moja maana inaweza kukusababishia ukakoswa hata mtoto matokeo yake unakuwa unabadilisha wanawake kama nguo kumbe tatzo ni la kwako.pia kama unaitaji ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume na kurekebisha mishipa iliyoharibiwa na upigaji wa nyeto,ni dawa nzuri sana inaleta msisimko wa ajabu ktk mwili na kukufanya ujisikie msisimko wa ajabu ndani ya mwili na kuufanya ume wako usimame misili ya msumali.kwa mengzaid ntafute;0759217720
 

Msumari wa inch ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…