Kujiendeleza kielimu au kufanya biashara? Lengo ni kujikwamua kiuchumi

Kujiendeleza kielimu au kufanya biashara? Lengo ni kujikwamua kiuchumi

Joined
Aug 1, 2024
Posts
30
Reaction score
53
Habari wana-JamiiForums,

Nina umri wa miaka 27 ni muajiriwa wa serikali tangu mwaka 2023 nikiwa kama afisa tabibu (clinical officer). Nimeleta uzi huu kwenu nikiomba ushauri kuna mambo kama mawili natamani kuyafanya la kwanza ni kujiendeleza kielimu na la pili ni kufanya biashara vyote nikiwana lengo la kujikwamua kiuchumi.

Sasa kinachoniweka dilema ni kwamba nianze na kipi kati ya elimu au biashara, na je kama ni elimu nitasoma kozi ipi ambayo itanipa fursa either kupanda ngazi zaidi au kupitia elimu hiyo nitakayoipata niweze kufanya mambo yangu binafsi? Na je, endapo nikipata kozi haihusiani na fani yangu ya sasa. Je, itawezekana kubadili fani?

Pili kuhusu biashara kutokana mazingira niliyopo ya kazi sio rahisi kufanya biashara kubwa au biashara ya kupiga hatua ambayo mimi natamani kufanya hivyo itanibidi either nihame au nifungue sehemu nyingine na je vipi kuhusu management ya hiyo biashara?

Maana kuna biashara niliwaza kufanya mfano kufungua shule ya watoto, kufungua zahanati au maabara au pharmacy, biashara ya vinywaji kama bia na pombe kali na biashara ya vipodozi. Lakini pia fursa nyingine iliyopo huku ni kama uvuvi japo kwa asilimia ndogo na pia kilimo lakini changamoto ni kubwa kama wanyamapori kuvamia mashamba, mafuriko nk

1723191860035.jpg
 
Habari wana-JamiiForums,

Nina umri wa miaka 27 ni muajiriwa wa serikali tangu mwaka 2023 nikiwa kama afisa tabibu (clinical officer). Nimeleta uzi huu kwenu nikiomba ushauri kuna mambo kama mawili natamani kuyafanya la kwanza ni kujiendeleza kielimu na la pili ni kufanya biashara vyote nikiwana lengo la kujikwamua kiuchumi.

Sasa kinachoniweka dilema ni kwamba nianze na kipi kati ya elimu au biashara, na je kama ni elimu nitasoma kozi ipi ambayo itanipa fursa either kupanda ngazi zaidi au kupitia elimu hiyo nitakayoipata niweze kufanya mambo yangu binafsi? Na je, endapo nikipata kozi haihusiani na fani yangu ya sasa. Je, itawezekana kubadili fani?

Pili kuhusu biashara kutokana mazingira niliyopo ya kazi sio rahisi kufanya biashara kubwa au biashara ya kupiga hatua ambayo mimi natamani kufanya hivyo itanibidi either nihame au nifungue sehemu nyingine na je vipi kuhusu management ya hiyo biashara?

Maana kuna biashara niliwaza kufanya mfano kufungua shule ya watoto, kufungua zahanati au maabara au pharmacy, biashara ya vinywaji kama bia na pombe kali na biashara ya vipodozi. Lakini pia fursa nyingine iliyopo huku ni kama uvuvi japo kwa asilimia ndogo na pia kilimo lakini changamoto ni kubwa kama wanyamapori kuvamia mashamba, mafuriko nk

View attachment 3077167
Yani hata wewe mwenyewe hujielewi unataka nini.
 
anza na biashara unayoona una uwezo wa kuimanage ila pia ukitaka kujijenga kielimu kuna kozi za bure za online kuhusiana na mambo ya biashara, ukiwa mtumishi wa umma jifunze kutafuta ujuzi zaidi wakati unajipanga. Pia kujua kozi ya kujiendeleza cheki na HR wako wanajua muongozo vizuri
 
KASOME KWANZA.
Kuhusu ukasome nini ?ukasome kozi ipi?kama una penda na una wito wa kufanya kazi za fani za afya no vizuri ukaendeleza kusoma kile ulichokianza ambacho tayari una diploma ya clinical medicine(uka upgrade area hiyo medicine kama MD,pharmacy,DDS and the like)
mana kazi za afya zinahitaji pia uwe na mapenzi nazo mazingira ya kazi nafikiri unayajua na nature ya kazi,ni vizuri ukawa na mapenzi ya kusaidia wagonjwa kutibu.Maadili ya kitaaluma na viapo vya kazi vinakutaka itangulize huduma kwanza.Mambo ya kutengeneza fedha kukuza kipato hakuna utajiri kwenye kuhudumia wagonjwa.UTAJIRI utaupata kwenye biashara,unaweza kufanya kazi na ukafanya biashara pia ila kwa kutumia kuajiri watu wasimamie biashara zako mana hutapata muda mwingi wa wewe kusimamia biashara zako.
Kama huna passion na fani za afya unaweza kusoma kozi yoyote nyingine unayoipenda na pesa ni matokeo ya kufanya kile unachokipenda kwa passion na ubunifu.
ILA USITEGEMEE SANA AU USIJIHAKIKISHIE SANA KUWA KU MAKE MAPEASA MENGI NA KUWATAJIRI KIPITIA UDAKTARI.
 
wapo baadhi ya madtari waliacha
KASOME KWANZA.
Kuhusu ukasome nini ?ukasome kozi ipi?kama una penda na una wito wa kufanya kazi za fani za afya no vizuri ukaendeleza kusoma kile ulichokianza ambacho tayari una diploma ya clinical medicine(uka upgrade area hiyo medicine kama MD,pharmacy,DDS and the like)
mana kazi za afya zinahitaji pia uwe na mapenzi nazo mazingira ya kazi nafikiri unayajua na nature ya kazi,ni vizuri ukawa na mapenzi ya kusaidia wagonjwa kutibu.Maadili ya kitaaluma na viapo vya kazi vinakutaka itangulize huduma kwanza.Mambo ya kutengeneza fedha kukuza kipato hakuna utajiri kwenye kuhudumia wagonjwa.UTAJIRI utaupata kwenye biashara,unaweza kufanya kazi na ukafanya biashara pia ila kwa kutumia kuajiri watu wasimamie biashara zako mana hutapata muda mwingi wa wewe kusimamia biashara zako.
Kama huna passion na fani za afya unaweza kusoma kozi yoyote nyingine unayoipenda na pesa ni matokeo ya kufanya kile unachokipenda kwa passion na ubunifu.
ILA USITEGEMEE SANA AU USIJIHAKIKISHIE SANA KUWA KU MAKE MAPEASA MENGI NA KUWATAJIRI KIPITIA UDAKTARI.
 

Attachments

  • IMG-20240831-WA0020.jpg
    IMG-20240831-WA0020.jpg
    113 KB · Views: 15
Kuna watu wanateseka dunia hina
wapo baadhi ya madaktari walioacha kazi ya udaktari na kwenda kufanya biashara nyingine au kusomea fani nyingine au kifanya kazi nyingine tofauti na udaktari waliosomea kwa sababu mbalimbali,ikiwemo sababu kubwa kutokuwa na mapenzi passion au wito na udaktari,wengine walichaguliwa/kulazimishwa na wazazi wao,walichokitegemea na uhalisia tofauti,mazingira magumu na nature ya kazi kama huna wito passion na kazi za afya utakuwa disappointed.Na kama una tegemea kuna mapesa mengi au utakuwa tajiri SI KWELI,inatakiwa kwanza upende uwe na passion uwe na wito pesa ni matokea na utapata za kawaida na baraka nyingi kitoka maombi na shukrani za wagonjwa ila SIO NYINGI za kuwa TAJIRI(HAKUNA UTAJIRI)
1)Mu***pha Ha**nal mbinifu wa mavazi ni daktari by proffesional kama nitakuwa sijakosea
2)nina mifano mingi kuna mmoja alilazimishwa kusomea udaktari na baba yake mzazi,akaenda akasoma na akahitimu akiwa amefaulu vizuri sana,akafika nyumbani akamkabidhi cheti baba yake mzazi ,akaenda kusomea usimamizi wa fedha mambo ya account akaenda kuanza upya maana ndio kitu alichokuwa anakipenda
wengine ni wafanyabiashara wa used cars magari,wengine ni wanasiasa na wamesha acha kutibu kabisa .
Kwa hiyo ushauri wangu unabaki kuwa FANYA MAAMUZI KWA MAPENZI YAKO si kwa kushauriwa na Si kwa msukumo au kujihakikishia /expectations za kupata kipato kivile ,yes kitaongezeka kipato ila si kivile.
 
wapo baadhi ya madaktari walioacha kazi ya udaktari na kwenda kufanya biashara nyingine au kusomea fani nyingine au kifanya kazi nyingine tofauti na udaktari waliosomea kwa sababu mbalimbali,ikiwemo sababu kubwa kutokuwa na mapenzi passion au wito na udaktari,wengine walichaguliwa/kulazimishwa na wazazi wao,walichokitegemea na uhalisia tofauti,mazingira magumu na nature ya kazi kama huna wito passion na kazi za afya utakuwa disappointed.Na kama una tegemea kuna mapesa mengi au utakuwa tajiri SI KWELI,inatakiwa kwanza upende uwe na passion uwe na wito pesa ni matokea na utapata za kawaida na baraka nyingi kitoka maombi na shukrani za wagonjwa ila SIO NYINGI za kuwa TAJIRI(HAKUNA UTAJIRI)
1)Mu***pha Ha**nal mbinifu wa mavazi ni daktari by proffesional kama nitakuwa sijakosea
2)nina mifano mingi kuna mmoja alilazimishwa kusomea udaktari na baba yake mzazi,akaenda akasoma na akahitimu akiwa amefaulu vizuri sana,akafika nyumbani akamkabidhi cheti baba yake mzazi ,akaenda kusomea usimamizi wa fedha mambo ya account akaenda kuanza upya maana ndio kitu alichokuwa anakipenda
wengine ni wafanyabiashara wa used cars magari,wengine ni wanasiasa na wamesha acha kutibu kabisa .
Kwa hiyo ushauri wangu unabaki kuwa FANYA MAAMUZI KWA MAPENZI YAKO si kwa kushauriwa na Si kwa msukumo au kujihakikishia /expectations za kupata kipato kivile ,yes kitaongezeka kipato ila si kivile.
Mkuu ushauri wako ni mzuri sana sio kwenye ajira tu hata kwenye biashara tunashauriwa tufanye tunachokipenda utajiri huja mbele ya safari

Lakini huyo anaetaka mabwana matajiri eti kisa ni mzuri hilo nalo ni janga la taifa,,siwezi kuwa na mideni kiasi hicho eti kisa ni mzuri sijui pisi kali uzuri wa nyok*0
 
Uwe na priorities.
Panga kipi kianze na kipi kifate.
1. Kama ni elimu ya level gani?
2. Kama ni biashara ni ipi?

Halafu, Anza kufanya chenye umuhimu na chenye haraka, uje ufanye chenye umuhimu ambacho kiliweza kusubiri.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mtaji unatosha mkuu? Una kama kiasi gani?
Kwa kuwa lengo ni uhuru wa kifedha (financial freedom) nakushauri kuanza biashara, huku ukifanya kazi.
Pia unaweza kusoma katika vyuo kama open university, au vinavyotoa evining classes, au pia kusoma online.
Na kwa taaluma yako focus kufanya biashara za kutoa huduma zaidi, kuliko bidhaa...kama hiyo ya maabara.
 
Back
Top Bottom