Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijarishi hata km ameanza Jana ruhusa anapewa kipindi cha mitihani anaandika barua hata hio kusoma lazima atakua na kibari hivyo mwajiri ataelewa tu wapo walimu wengi wanaojiendeleza OpenUmeanza lini kazi?
Inategemea maana mfumo umebadilishwa siku hizi hawafanyi online maana kuna wakuda walikua wanafanyiwa mitihani kwa hio wanafanya darasani km wengine hata hio ya darasani kuna wakuda bado walikua wanaenda kuwafanyia watu mitihani kwa hio paper inaweza ikawa asubuhi, mchana au jioni inategemea na ratiba itakuajekwani si wanasoma jioni, na mitihani inafanywa jioni, au mitihani inafanywa asubuhi?
Sio kila mtu anajua kila kitu hata Trump ukimuuliza kuhusu Tandale kwa Tumbo kupo kupoje atatoa macho sababu hapajuiHawa ndio watanzania walioandaliwa ku compete kwenye world market.
Kah!Inategemea maana mfumo umebadilishwa siku hizi hawafanyi online maana kuna wakuda walikua wanafanyiwa mitihani kwa hio wanafanya darasani km wengine hata hio ya darasani kuna wakuda bado walikua wanaenda kuwafanyia watu mitihani kwa hio paper inaweza ikawa asubuhi, mchana au jioni inategemea na ratiba itakuaje
Shukrani sanaSasa mkuu hiyo mbona ipo wazi? We unapoondoka kwa ruhusa ya kuanzia siku 5 tunaomba ruhusa wapi??
2022Umeanza lini kazi?