Kujifanya masikini ili kumpima 'mke mwema' ni mbinu isiyo na tija, badala yake mpime kwa pesa ili uone uwezo wake kwenye mipango na matumizi thabiti

Kujifanya masikini ili kumpima 'mke mwema' ni mbinu isiyo na tija, badala yake mpime kwa pesa ili uone uwezo wake kwenye mipango na matumizi thabiti

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Kilichotokea Kenya ni fundisho kwa wengine. Tuliache hilo.

Mwanamke mpe hela, hasa yule unayetarajia kuishi naye. Mpe hela kisha tazama matumizi yake au ushauri wake kwenye pesa zako.

Hii ya kujifanya fukara ili kupima uvumilivu wake ni mbinu mfu. Eti unataka kujua siku ukiishiwa itakuwaje!

Kwanini ujiandae kuishiwa? Hiyo kwanza ni kuhalalisha uzembe. Pili ni kutenda dhambi ya uongo, kwa kuigiza hali isiyo yako.

Uvumilivu wa mke asiye na ushauri wala mipango thabiti na matumizi ya fedha ni BURE tu.

Jiepushe ni dhambi ndogondogo.
 
Watu uzi wanaupita kama Maiti iliyogongwa barabarani kusubiria traffic aje kukagua ajali
 
Ukisikia kufikiri nje ya box ndio huku sasa.
Box lipi unalozungumzia? Kuwa nje ya box maana yake km upo duniani umehama unaweka mawazo ya Pluto sawa na Mimi niseme pale Ubungo penye flyover miaka 50 mbele patakua na Bahari km palivyo jangwani ndio maana likaja Wazo la flyover hapo tayari NIPO Neptune huko
 
Back
Top Bottom