BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Zamani magari yalikuwa yanapkwa rangi. Siku hizi yanapuliziwa. Hivyo huwezi kupata hiyo sehemu ya kupata masomo hayo. Ni nyumba tu sasa ndo wanapaka rangiWakuu,
Mi napenda sana kujifunza kupaka rangi magari, naomba kufahamu ni sehemu gani wanatoa elimu hii ambapo nikitoka nitakuwa nimeiva.
Natanguliza shukrani wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifundisha kitu nami nakubali kurekebishikaZamani magari yalikuwa yanapkwa rangi. Siku hizi yanapuliziwa. Hivyo huwezi kupata hiyo sehemu ya kupata masomo hayo. Ni nyumba tu sasa ndo wanapaka rangi
Sent using Jamii Forums mobile app