kitu kinachonikera kazini kwangu,ninaona wafanyakazi wenzangu chini ya mkurugenzi wanajikomba komba kwa boss.hivi kwa nin?nikutafta cheo?
Je huwezi pata bila kujipendekeza?akijependekeza ujue anampa majungu,umbea, why? Ni ulimbukeni wa kazi naic. Sipendiii sipendii....
Kitu kinachonikera kazini kwangu,ninaona wafanyakazi wenzangu chini ya Mkurugenzi wanajikomba komba kwa boss.HIVI KWA NIN?nikutafta cheo?
Je huwezi pata bila kujipendekeza?Akijependekeza ujue anampa majungu,umbea, Why? Ni ulimbukeni wa Kazi naic. Sipendiii sipendii....
hii thread nitaiprint niiweke mahala panapoonekana ofisini .....ili ujumbe ufike