Lol we Mbu asa mbona unatuchanganya........ina maana hakijaeleweka bado au una maanisha nini??
Mwee umfanyie hivi wife si ataanza kukulalamikia huko huko ohoo sijui mbona unachezea hela baba watoto si tungetumia kumalizia kibanda haha hahhah
Viva nyumba ndogo sie tunajua kutumia tuuuu:glasses-nerdy::glasses-nerdy::becky:
msinishambulie jamani:madgrin:
...it's a journey myluv....wengine wanaridhika na " 'eye' love you,' " wengine wakishavishwa pete ndio weshaolewa, wengine mpaka wazae ndio kinaeleweka,....mimi tafsiri yangu kila siku inavyokucha ndio siku ya kuyaanzisha (mapenzi) upya.
Ndilo darasa nililo graduate (lessons learnt)
Kazi yabakia kwa 'mpokeaji.'
Mwj1, ...najiskia raha wengi wamevutiwa na mada hii.
It's nice making a difference maishani mwa watu.
Hakuna linaloshindikana. Nia tu...
post y aakili sana hiiPoster ya maana kuliko zote
nilizosoma wiki hii asante Mbu...
nakuunga mmkono kabisa..
...
...Wow, am humbled! Nami namuomba Mw'Mungu anizidishie nguvu ya
'kuyazidisha' mpaka kieleweke...LOL!
mimi HAPA BJ, niandalie ntakuwa tour guide:mwaaah: wako
Kaizer umeona eeh??
Yaani acha tu ninatamanije?
.............Ila mheshimiwa Mbu amenichekesha eti baada ya arusi outings zinakuwa ni zile za kuhudhuria arusi na send offs......................huyu amedata si mzima hata kidogo. Yaani nimejiangalia mie na kujichambua ilikuwaje yaani haya ndo yalivyokuwa!!
Haina shaka kabisa dear, I promise you it will be 'unforgettable tour' ...hamna kupiga mahesabu wala kufikiria mara mbili juu ya matumizi as long as tupo payroll ya mwezi utakaofuatia...ni mwendo wa kula, music, spa, massage, kuzunguka na fyokofyoko zote.
Halafu kukirejea makazini, full fresh mind kama vile tumeshuka toka mbinguni..Kweli hii idea nzuri sana..btw, nimefika Manyara national, ruaha, ngorongoro, mikumi, momela zote zilikuwa tour nzuri sana na memorable. Utalii wa nchini naupenda kweli..akili inapumzika ndani ya nchi yako kwa vivutio murua!!..
Mbu, nitakutafuta zaidi kwa information...I need more adventures🙂) Hongera kwa mpz mpy naona amekuchangamsha sana!!..
post y aakili sana hii
Unakuta mtu mzima umelipia mkae siku tatu halafu unaanza pewa lecture kama hizo...mwishoe waulizwa siku tatu zote za nini naomba twende ukaombe wakurudishie hela ya siku mbili turudi nyumbani.halafu haya mambo ya kuchukua hela benki bila kunishirikisha mi sipendi kabisa.
Ehee?!! kumbe wanafaidi sana wenzetu.................................Hamna mtu anayetafuta nyumba ndogo humu jamani? Mkinionea mnijuze. Natanguliza aksante.
Mbu una mafumbo kama mwalimu wa kiswahili!!
Mhhhh! MJ1! Ya kweli hayo!? hahahahahah lol! Tanga kunani? Haya Mwaya kila la heri katika kutafuta maraha ya dunia na njemba ikinogewa inaweza kabisa kutangaza harusi hapa hapa jamvini 🙂
YouTube - ‪Mia Martina - Latin Moon‬‏
</p><font face="Lucida Sans Unicode"><font color="sienna">Mwee umfanyie hivi wife si ataanza kukulalamikia huko huko ohoo sijui mbona unachezea hela baba watoto si tungetumia kumalizia kibanda haha hahhah</font></font></p>
<p><font face="Lucida Sans Unicode"><font color="sienna">Viva nyumba ndogo sie tunajua kutumia tuuuu<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/glasses-nerdy.gif" border="0" alt="" title="Glasses Nerdy" smilieid="190" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/glasses-nerdy.gif" border="0" alt="" title="Glasses Nerdy" smilieid="190" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/becky.gif" border="0" alt="" title="Becky" smilieid="127" class="inlineimg" /></font></font></p>
<p><font face="Lucida Sans Unicode"><font color="sienna">msinishambulie jamani<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/madgrin.gif" border="0" alt="" title="Madgrin" smilieid="224" class="inlineimg" /></font></font></p>
<p>