Kujipulizia manukato wakati wa kwenda mazoezini inasaidia nini?

Kujipulizia manukato wakati wa kwenda mazoezini inasaidia nini?

Habarini za Ijumaa wana mazoezi na wadau wote,

Eti kujipulizia unyunyu muda wa kwenda mazoezini huwa kuna muingiliano na performance nzuri kwenye mazoezi?

MazoeZi ya gym itakua umefanya matumiz mabaya ya manukato or labda unajijua kua una jasho kali so hutak kukera watu.ila haina maana xnaa kwa kua mazoezi nia yake ni utoke jasho kisha ukaoge
 
Kuna manukato maalum kwa mazoezi ambayo yameandikwa Sports mfano Georgio Armani Sports nia ni kukata harufu ya jasho na kukufanya unukie vizuri hata ukiwa na jasho jingi
 
Sio perfume sio deodorant ni antiperspirant. Ni skincare kwa ajili ya mazoezi ila inanukia vizuri sana. Mfano mimi natumia Gillette antiperspirant, unaweza ukatoka mazoezi ukaingia kwenye gari na usiache harufu kali ya kizanaki au wagogo. Kuna gari unaingia au nyumba inanuka nguvu sababu anaishi mtu wa mazoezi.
 
Sio perfume sio deodorant ni antiperspirant. Ni skincare kwa ajili ya mazoezi ila inanukia vizuri sana. Mfano mimi natumia Gillette antiperspirant, unaweza ukatoka mazoezi ukaingia kwenye gari na usiache harufu kali ya kizanaki au wagogo. Kuna gari unaingia au nyumba inanuka nguvu sababu anaishi mtu wa mazoezi.
Kwaiyo wazanaki na wagogo ndo wana harufu kali ya jikwapa?[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom