Unga wa Kitarasa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 398
- 101
Mi sio mtaalam, ila najua ni ukosefu wa maji.
Wataalam wanashauri unywe kwa uchache lita 3 za maji kwa siku. Sasa hao ni wataalam wa ulaya ambako hamna joto. Kama uko bongo nafikiri inabidi unywe mengi zaidi.
Kwa kuanza jaribu kugugumia lita nzima ya maji first thing in the morning
mwili unakwmbia kuwa umekosa majiMi sio mtaalam, ila najua ni ukosefu wa maji.
Wataalam wanashauri unywe kwa uchache lita 3 za maji kwa siku. Sasa hao ni wataalam wa ulaya ambako hamna joto. Kama uko bongo nafikiri inabidi unywe mengi zaidi.
Kwa kuanza jaribu kugugumia lita nzima ya maji first thing in the morning
thanx sANA en but sijajua hayo maji ni baridi au motokunywa atleast lita 3 za maji kwa siku.
okay mzuka mwingi mdauamber colour (njano) ni rangi ya kawaida katika mkojo. kama kungekuwa na damu au mwekundu tungelisema unatatizo. hiyo ni rangi ya kawaida ya mkojo. usihofu!
unafurahishathanx sANA en but sijajua hayo maji ni baridi au moto