Jamani anayejua jinsi ya kujiunga na hiyo huduma ya Crdb mobile anijulishe mie nataka kujiunga sasa hivi.
Wakuu,hii huduma ni nzuri,waweza toa pesa toka CRDB kwenda
1.mpesa, zap
2.account zako nyingine.
Pia waweza
1.jua salio
2.kujua statement fupi,na mihamala mingine
risk ipo kwenye kutunza password.
JINSI YA KUJIUNGA:tumia line ya vosta(mostly)kujiunga au airtel,tigo wazushi,piga *150*03#
baada ya hapo process ni zile kama za mpesa au tigo pesa we fuata maelezo tu zingatia.vifuatavyovitahitajika kuingiza ili kujisajili
1.andika pembeni namba ya kadi ya ATM(ile namba ina matarakimu mengi).
2.andaa namba yako ya account.
3.andaa namba yako ya siri unayoitumia kwenye atm,hii itajitajika ili kugenerate password mpya.
4.andaa four digit password mpya(hii utaitumia kulog kwenye sim banking yako).
Hope ni hayo tu wakuu kwa ufafanuzi usisite u will enjoy.pia kwa internet banking nenda kwenye tawi umefungua ac yako ujaze fomu ili upate internet banking
NAWASILISHA.
nimejaribu kuijisajiili lakini date format ndio inanisumbua, unatakiwa uingize expiry date ya card, kila nikiingiza inakataa, format ya expiry date inatakiwa iweje?Wakuu,hii huduma ni nzuri,waweza toa pesa toka CRDB kwenda
1.mpesa, zap
2.account zako nyingine.
Pia waweza
1.jua salio
2.kujua statement fupi,na mihamala mingine
risk ipo kwenye kutunza password.
JINSI YA KUJIUNGA:tumia line ya vosta(mostly)kujiunga au airtel,tigo wazushi,piga *150*03#
baada ya hapo process ni zile kama za mpesa au tigo pesa we fuata maelezo tu zingatia.vifuatavyovitahitajika kuingiza ili kujisajili
1.andika pembeni namba ya kadi ya ATM(ile namba ina matarakimu mengi).
2.andaa namba yako ya account.
3.andaa namba yako ya siri unayoitumia kwenye atm,hii itajitajika ili kugenerate password mpya.
4.andaa four digit password mpya(hii utaitumia kulog kwenye sim banking yako).
Hope ni hayo tu wakuu kwa ufafanuzi usisite u will enjoy.pia kwa internet banking nenda kwenye tawi umefungua ac yako ujaze fomu ili upate internet banking
NAWASILISHA.
Jamani kwa sisi wa NBC Kuna huduma kama hiyo? Kama ipo anayefahamu atueleze.
nimejaribu kuijisajiili lakini date format ndio inanisumbua, unatakiwa uingize expiry date ya card, kila nikiingiza inakataa, format ya expiry date inatakiwa iweje?
CRDB mpaka uende katika branch uliyofungulia akaunti ujaze form ya application ant terms agreement then wanakutumia set up file
(you must have a phone with internet capability) unaaccept na kuinstall hiyo application ktk cmu yako then you can start using it! NOTE: usijazejaze inf zako online utakombwa akiba yako!
Mkuu hii huduma ya simu banking crdb hawaiwezi! mana they are very poor in handling customer complaints, and follow up of hick ups.
Na kwa uzubaifu wa Bank Kuu na TCRA basi wateja ndo wanaumina.
case in point.
Jumamosi Tar 14/09 nimehamisha pesa toka account yangu ya crdb kwenda kwa namba yangu ya simu ( MPESA)
Hiyo transaction haijawa effected toka Jumamosi Tar 14/09 saa 4 asubuhi, hadi leo J'tatu tar 16/09 saa 10 jioni, pesa imetoka kwenye account ya benki, lakini kwenye Mpesa haikuingia na wao wameekaa kimya tuu.
Kuuliza Branch - Tower branch, - Dada anaitwa pale maulizo anaitwa Tunu, ni kichefuchefu! hajui hata la kufanya naona amekaa tu kama anasubiria tunu.
Kupiga simu customer service ndo kabisaa! eti "tunashughulikia"!!
Hawajuai kuwa nini maana ya mtu kuweka pesa kwenye current account! - unatakiwa kumpatia pesa yake anytime akiitaka bila usimbufu!! mama anaweza kuwa na mgonjwa sasa J'mosi hadi leo J'3 mgonjwa hajafa??
Unaweza kusajiri ukiwa nyumbani kwako, ila mtu mmoja wa crdb alinidokeza kuwa,kutoa hela crdb kwenda m-pesa kwa line za voda ni rahisi zaidi kuliko line ya Airtel. Ni kweli, nilijaribu sana kwa line ya airtel, ni ngumu. Pili huduma hii nimeipenda hasa kwa kupunguza muda unaopotea ktk foleni barabarani na benki kwenyewe na kuongeza usalama, hasa unapokuwa unataka kubeba hela nyingi kumpa mwenzio mwenye ac crdb. Crdb hawana maximum ktk kuhamisha within crdb bank, tofauti na Nmb ambao kwa siku mwisho laki tano...Mkuu, Hii inayozungumzia ni ile ya INTERNET BANKING ambayo ni lazima simu yako iwe na uwezo wa Internet na lazima ufike kwenye tawi lako kujaza form lakini kuna hii ya *150*03# wanayoiita SIM BANKING kama sikosei ambayo unaweza kujisajili mwenyewe kwenye simu yako hata ukiwa nyumbani tu na si lazima simu yako iwe na uwezo wa Internet.