Kujitangaza facebook - kujishuku

hivi kunaulazima kama umetengana na boyfriend/girlfriend wako kwenda kuanika kwa FACEBOOK!!!<br />
<br />
inaulazima kiasi gani, afu mara nyingi yule anayekuwa na makosa ndo wakwanza kujishuku kwa FB<br />
<br />
teh teh
<br />
<br /> hivi facebook ndio nini jamani?
 
hivi kunaulazima kama umetengana na boyfriend/girlfriend wako kwenda kuanika kwa FACEBOOK!!!

Hizo ni dalili umewapa wanajamii na dunia remote control waendeshe maisha yako..kwani wewe mwenyewe huwezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…