saimon amos
Member
- Dec 31, 2018
- 16
- 7
Wadau naomben ushauri na maono yenu katika hili
Mimi ni kijana wa miaka 20 nimekua nikijifunza ufundi aluminum Sasa ni mwaka wa pili nakaa kwa shemej yangu Sasa imefika muda mwafaka wa kutoka na kuanza kujitegemea.Nahitaji kuwa na najitegemea nilikuwa na wazo la kuuza RABA za mitumba kutokana na muda wa kuwa takua kwenye kazi yangu penda nahitaji kuwa na sehem nyngine ya kuniingizia kipato.NAOMBENI USHURI WENU
Mimi ni kijana wa miaka 20 nimekua nikijifunza ufundi aluminum Sasa ni mwaka wa pili nakaa kwa shemej yangu Sasa imefika muda mwafaka wa kutoka na kuanza kujitegemea.Nahitaji kuwa na najitegemea nilikuwa na wazo la kuuza RABA za mitumba kutokana na muda wa kuwa takua kwenye kazi yangu penda nahitaji kuwa na sehem nyngine ya kuniingizia kipato.NAOMBENI USHURI WENU