Kujitoa kwa GSM kama mdhamini mwenza hakuna madhara yoyote kwa uwekezaji wa huko mbeleni

Kujitoa kwa GSM kama mdhamini mwenza hakuna madhara yoyote kwa uwekezaji wa huko mbeleni

The real Daniel

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2017
Posts
2,117
Reaction score
7,899
Watu wameanza, oh kuondoka kwa GSM ni jambo baya wadhamini wataogopa kujitokeza[emoji3]

Sikilizeni, hakuna mdhamini atakaye ingia mkataba halali na ligi yetu ambaye atasumbuliwa, ila ukiingia mikataba ya hovyo, kwa kujaribu kupita mlango wa nyuma basi jua utapata taabu tu, lakini ukifuata taratibu zote hakuna shida.

Akina Vodacom, NBC, KBC, Azam tv (mkataba mpya), sports pesa, Kilimanjaro premium lager n.k hawajapata shida yoyote. Hakuna timu iliyowahi kuwagomea kuvaa nembo au kuhitaji maelezo ya ziada.

Ila mkataba wa Azam tv wa Kwanza TFF hawakukubaliana vilabu kuhusu malipo ya 100m kwa mwaka na yanga wakakataa ule mkataba kitu kilicholeta mgogoro mkubwa Sana,

Leo GSM ambaye anajijua kabisa ni kiongozi wa yanga then anapita mlango wa nyuma kwa kusaini mkataba na TFF ili avilazimishe vilabu kutia ndani Simba kuvaa nembo yake, then mtu anataka Simba tukubali tu kisa kuwabembeleza wadhamini[emoji2369].

GSM abaki yanga, huku kwenye ligi awaache ambao wanajari usawa kwa timu zote na ambao wanania ya kweli ya kuiendeleza ligi na siyo waliokuja kuikomoa Simba au yanga.

Waige mfano wa NBC na Vodacom ambao walikuwa tayari ku sacrifice rangi za Lebo zao ilimradi Kila timu isiwe na vikwazo, lakini pia hawakuchagua upande wowote Kati ya Simba na yanga.
 
Tukiongelea kwa issue ya udhamini pekee kuna madhara makubwa hasa kwa upande wa TFF. Wawekezaji watakosa imani nao kwa kuona ni chombo ambacho hakina uwezo wa kutekeleza kile walichokubaliana katika mkataba. TFF wamezingua sana wajipange vizuri kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji.

NB: GSM hakuja kwenye ligi kwa ajili ya kusaidia timu nyingine alikuja kuikomoa Simba kwa kujionyesha wao ni miamba. Huu mkataba uliwalenga SIMBA tu, kiufupi huu mkataba ulichagizwa kiasi kikubwa na Usimba na Uyanga kishabiki shabiki sana. Asante sana Madame CEO kwa kusimamia maslahi ya Simba.
 
Tatizo kubwa ushabiki wa vilabu hivi viwili Yanga na Simba ila kwa watu wengi wanaendeshwa na ushabiki wa vilabu vyao.
Ila wapo wachache wanaoelewa.

Nimempongeza Adeni Rage ameeleza wazi kuwa tatizo ni TFF na hili lipo wazi kabisa huyo hicho kikaragosi kilichokuwa hapo hakina aibu kabisa lengo ni kuua mpira wetu tutakuja kujua hapo baadaye.
 
Wanasimba mnajiona mmewin ktk hili lakini kiukweli mmekuwa wabinafsi mno

Mmeumiza sana vilabu vidogo ambavyo vinajiendesha kwa shida.
 
Wanasimba mnajiona mmewin ktk hili lakini kiukweli mmekuwa wabinafsi mno

Mmeumiza sana vilabu vidogo ambavyo vinajiendesha kwa shida.
Sasa unaingiaje mkataba ambao hauko sahihi?
Imagine Leo mo dewj alete mkataba wake pale TFF then yanga mlazimishwe kuvaa moenergy mtakubali?

TFF walibugi tangu mwanzo
 
Wanasimba mnajiona mmewin ktk hili lakini kiukweli mmekuwa wabinafsi mno

Mmeumiza sana vilabu vidogo ambavyo vinajiendesha kwa shida.
Tumeviumiza wapi, yaani wao waishi kwa hisani ya Simba, tumemshtukia GSM na sasa tumeloweka magodoro yake na JUA haliwaki Dar mvua itaendelea kunyesha.
 
Tukiongelea kwa issue ya udhamini pekee kuna madhara makubwa hasa kwa upande wa TFF. Wawekezaji watakosa imani nao kwa kuona ni chombo ambacho hakina uwezo wa kutekeleza kile walichokubaliana katika mkataba. TFF wamezingua sana wajipange vizuri kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji.

NB: GSM hakuja kwenye ligi kwa ajili ya kusaidia timu nyingine alikuja kuikomoa Simba kwa kujionyesha wao ni miamba. Huu mkataba uliwalenga SIMBA tu, kiufupi huu mkataba ulichagizwa kiasi kikubwa na Usimba na Uyanga kishabiki shabiki sana. Asante sana Madame CEO kwa kusimamia maslahi ya Simba.
Angalia malalamiko yao yalivyojaa dhidi ya SIMBA.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
IMG-20220207-WA0147.jpg
 
Matapeli wanatapatapa tu, GSM ni matapeli na wameenda kujitoa kwenye timu ya taifa kwa kisirani tu hapakuwa na sababu yoyote kwao kujitoa kule, wangemaliza utapeli wao wa mkataba walioingia na bodi ya ligi maisha yaendelee lakini badala yake wamesusa kwa utapeli wao kuumbuliwa.
 
Matapeli wanatapatapa tu, GSM ni matapeli na wameenda kujitoa kwenye timu ya taifa kwa kisirani tu hapakuwa na sababu yoyote kwao kujitoa kule, wangemaliza utapeli wao wa mkataba walioingia na bodi ya ligi maisha yaendelee lakini badala yake wamesusa kwa utapeli wao kuumbuliwa.
We unampingia mwanaume mwenzako namna ya kutupia pesa zake?.
 
Watu wameanza, oh kuondoka kwa GSM ni jambo baya wadhamini wataogopa kujitokeza[emoji3]

Sikilizeni, hakuna mdhamini atakaye ingia mkataba halali na ligi yetu ambaye atasumbuliwa, ila ukiingia mikataba ya hovyo, kwa kujaribu kupita mlango wa nyuma basi jua utapata taabu tu, lakini ukifuata taratibu zote hakuna shida.

Akina Vodacom, NBC, KBC, Azam tv (mkataba mpya), sports pesa, Kilimanjaro premium lager n.k hawajapata shida yoyote. Hakuna timu iliyowahi kuwagomea kuvaa nembo au kuhitaji maelezo ya ziada.

Ila mkataba wa Azam tv wa Kwanza TFF hawakukubaliana vilabu kuhusu malipo ya 100m kwa mwaka na yanga wakakataa ule mkataba kitu kilicholeta mgogoro mkubwa Sana,

Leo GSM ambaye anajijua kabisa ni kiongozi wa yanga then anapita mlango wa nyuma kwa kusaini mkataba na TFF ili avilazimishe vilabu kutia ndani Simba kuvaa nembo yake, then mtu anataka Simba tukubali tu kisa kuwabembeleza wadhamini[emoji2369].

GSM abaki yanga, huku kwenye ligi awaache ambao wanajari usawa kwa timu zote na ambao wanania ya kweli ya kuiendeleza ligi na siyo waliokuja kuikomoa Simba au yanga.

Waige mfano wa NBC na Vodacom ambao walikuwa tayari ku sacrifice rangi za Lebo zao ilimradi Kila timu isiwe na vikwazo, lakini pia hawakuchagua upande wowote Kati ya Simba na yanga.
[https://res]

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Bara, Steven Mnguto, ameibuka na kusema licha ya wadhamini wenza Kampuni ya GSM kutangaza kujiondoa katika udhamini lakini hakuna klabu yoyote iliyolipwa.


Kauli hiyo imekuja ikiwa ni siku moja tangu GSM watangaze kujiondoa kudhamini klabu za ligi ambazo awali waliingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh 2.1Bil.


Akizungumza na Championi Jumatano, Mnguto alisema kuwa, hilo suala wamepanga kulizungumza hivi karibuni
mara baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) watakapokutana.


Mnguto alisema kuwa, wanasubiria wanasheria wao walipitie suala hilo na mwisho wa siku watalitolea ufafanuzi
kwa undani.


“Kiukweli tangu tuliposaini mkataba na GSM nikiri klabu hazijapata chochote. Klabu zimeitangaza GSM kwa muda wa miezi mitatu sasa, kwa hiyo tunasubiri wanasheria walipitie suala hilo tujue tunafanyaje.

“Hata suala la zile nembo kwenye mabega sijui kama zinaweza kutolewa haraka lakini hata hilo litafanyiwa
kazi kisheria,” alisema Mnguto.

Naye Mkurugenzi wa Habari na Masoko wa TFF, Boniface Wambura, akizungumzia hilo alisema: “Sisi
baada ya kupata barua kutoka GSM, suala la mkataba ni Bodi ya Ligi na ni vema akatafutwa Mnguto lakini
kwa upande wa sisi TFF hatuwezi kuzungumzia kila jambo.


“Tayari tumetoa tamko letu jana (juzi) kuhusiana na hilo baada ya kupata barua GSM.” Juzi TFF ilitoa taarifa
kuwa, Februari 7, mwaka huu walipokea barua ya kuvunja mkataba wa udhamini mwenza wa Ligi Kuu Bara
ya NBC kutoka Kampuni ya GSM, hivyo Shirikisho hilo linafanyia kazi barua hiyo na litatoa taarifa kwa wadau.
 
Back
Top Bottom