Kujitokeza kwa Mzee Warioba (Nyerere's Think Tank ) ni Ishara kuwa kuna Misingi muhimu tunaipuuza na itatugharimu

Kujitokeza kwa Mzee Warioba (Nyerere's Think Tank ) ni Ishara kuwa kuna Misingi muhimu tunaipuuza na itatugharimu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama ukiwa huna Akili Kubwa na siyo Critical Thinker kamwe Siku zote hutoweza Kumuelewa Genius Mwingine wa Kizanaki Waziri Mkuu, Kada Mwandamizi wa CCM na Jaji Mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa yale ama anayoyaona au ayasemayo.

Amesema na Ameshasema mengi ila kwa leo GENTAMYCINE (Mzanaki Mwenzake) nimevutiwa tu na hii Kauli yake ifuatayo.

"Viongozi na hata Wastaafu wasipende sana Kutoa Maamuzi ya Kuvishinikiza Vyombo vingene katika Kuhukumu au Kulazimisha wafanye Watakavyo wao hii ni Hatari mno.

Vyombo vya Kimamlaka viwe Huru mfano TAKUKURU na asitokee Mtu akawaingilia katika Utendaji wao ili wafanye Watakavyo Wao"

Akhsante Mzee Warioba huna baya.
 
"Maamuzi ya Kuvishinikiza Vyombo vingine"

Ni vyombo gani hivyo?
Je ni Vyombo vs Vyombo?

Ni Viongozi au wastaafu wepi wenye Vyombo vyenye mamlaka au ushawishi mkubwa wa kupeleka maamuzi kuwa vishinikizo kwa Viongozi wa Vyombo vingine?

Tusubiri madongo!
 
Back
Top Bottom