Kujitolea huku unasoma chuo

Kujitolea huku unasoma chuo

sanga misuka

Member
Joined
Aug 24, 2017
Posts
49
Reaction score
61
Je inawezekana kwa mwanafunzi wa chuo anayesoma akawa anajitolea kufanya kazi kwenye kampuni au taasisi nje na chuo anachosoma

Nini maoni yako na utaratibu wake ukoje, na ushuhuda kutoka kwa watu waliowahi kufanya hivyo kipindi wapo chuo.

Asante
 
Je inawezekana kwa mwanafunzi wa chuo anayesoma akawa anajitolea kufanya kazi kwenye kampuni au taasisi nje na chuo anachosoma
.
Nini maoni yako na utaratibu wake ukoje, na ushuhuda kutoka kwa watu waliowahi kufanya hivyo kipindi wapo chuo,

Asante
Kwa mfumo wenu Wa Kitanzania inabidi uwe unasoma course za jioni. La sivyo utafia kazini kwa uchovu.
 
Back
Top Bottom