Kujitolea ni moyo au ni tabia inayojengwa toka utotoni

Kujitolea ni moyo au ni tabia inayojengwa toka utotoni

Profesa ntare nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2018
Posts
6,955
Reaction score
8,120
Habari zenu ndugu zangu wa jamii forum..Kuna hila suhala. Kuna watu wana mioyo ya kujitolea katika maishayao hiwe kwenye shida au raha wapo mstari wa mbele ikiwa ni kutoa damu au kuchangia fedha wapo mstari wa mbele bila kujali hali yao ya kipato ikoje je hii tabia wana fundishwa kutoka katika familia zao au ni moyo wa mtu tu?
 
Back
Top Bottom