Arash charlz
Member
- Apr 23, 2014
- 50
- 1
hawezi shnz ulikuwa huzingatii masomo naw ndo unaona advance ni ya maana???.... mazafanta
Kwa aliye pata credit mbili katka masomo ya combination mfano histor D, kisw B,na english language C,{HKL} je kwa shule za private hawezi kusoma advance akiwa na daraja la nne alama 32?
Kwa aliye pata credit mbili katka masomo ya combination mfano histor D, kisw B,na english language C,{HKL} je kwa shule za private hawezi kusoma advance akiwa na daraja la nne alama 32?
hapa unaweza soma ila ukiwa unatafuta C moja
Da pole pamoja na kupunguza maksi hivo
Kwa aliye pata credit mbili katka masomo ya combination mfano histor D, kisw B,na english language C,{HKL} je kwa shule za private hawezi kusoma advance akiwa na daraja la nne alama 32?
hayo matokeo ya waliochaguliwa yako wapi wadau
shukrani sana mwana jamvini much appreciationHAYA NDO MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2014/2015
------------------------------------------------------
Wasichana Wote ====> herufi A mpaka Z
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/adverts/form-five-selection-2014/WASICHANA-SHULE-ZOTE.pdf
Wavulana ===> Herufi A mpaka L
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/...n-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-A-mpaka-L.pdf
Wavulana ===> Herufi M mpaka Z
http://www.pmoralg.go.tz/menu-data/...n-2014/WAVULANA-MAJINA-YA-SHULE-M-mpaka-Z.pdf