Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Ndio tuone lugha yetu ya kiswahili ilivyongumu.... kujivunia ninakokuongelea mimi ni ile hali ya kufurahia,kuona fahari,kuridhika...( feel proud).
kuna mantiki katika hili? Naona mmoja kasaini kuwa anashukuru Mungu kuwa mwanamke. mi nadhani ni ajali ya kibaiolojia tu kama ilivyo kwa imani ambayo ni matokeo ya kimazingira tu. umeshawahi kuwaza ungekuwa kinyume na jinsia uliyo nayo?
Accorading to sigmund freud, wanawake wanatamani kuwa na dhakari- ikimaanisha kuwa wanaume. Hata katika jamii zetu hii hali ipo. Mwanamke akivikwa uanaume hachukii, ila ni kinyu
me. Bado hii haimaanishi kuwa naitetea jinsia moja