Kujua kigingi cha nyumba yako, naomba kuelekezwa

Kujua kigingi cha nyumba yako, naomba kuelekezwa

drilling

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
4,761
Reaction score
4,926
Wanaojua taratibu za kufanya kujua kingingi cha nyumba yako ili utata uishe na jirani. Ndugu yangu amenunua nyumba Ilala mtaa wa Moshi. Hizi nyumba zilijengwa enzi za Nyerere sasa anataka kujua na kupata utaratibu aje apimiwe nyumba yake ajue alama ya nyumba yake ili achane na matatizo na mpemba.
 
Daah hapa tu jirani na kwangu kuna mpemba anagombea mpaka na jirani yake. Hawa jamaa ni watata sana.

Halafu wakiwa kwao wachoyo hawa hata kukupa chumba upange pale Pemba au Unguja ni tatizo.
 
tafuta aliekuuzia mchukue na mpemba wabishaneeeee muafaka utaupata kuna mmoja atashindwa kujibu baadhi ya mambo.
 
Back
Top Bottom