GERERE
Member
- Aug 2, 2016
- 30
- 19
Habari zenu wana jamvi naomba nieleweshwe kuhusu gari hilo toyota NOAH kwene mambo yafuatayo maana mungu kashusha neema
1)ulaji wake wa mafuta lita 1=KM?
2)inauwezo wa kusafiri umbali mrefu mfano DSM-KIGOMA (3trip per month?)
3)mwendo gan unatumia mafuta kdg?
4)matatizo common ya gari hili ni yapi?
nawasikiliza ndugu zangu
1)ulaji wake wa mafuta lita 1=KM?
2)inauwezo wa kusafiri umbali mrefu mfano DSM-KIGOMA (3trip per month?)
3)mwendo gan unatumia mafuta kdg?
4)matatizo common ya gari hili ni yapi?
nawasikiliza ndugu zangu