Kujua thamani halisi ya kiwanja au shamba

mtafutaji2016

Senior Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
105
Reaction score
46
Habari za mchana wakuu..kuna kipande cha eneo tunataka kuuza kiko maeneo ya mbezi luis njia ya kuelekea goba ila tunataka kujua thaman ya eneo kwa mfano 20 kwa 30..
 
Habari za mchana wakuu..kuna kipande cha eneo tunataka kuuza kiko maeneo ya mbezi luis njia ya kuelekea goba ila tunataka kujua thaman ya eneo kwa mfano 20 kwa 30..
Asikuuzie zaid ya milion 10
 
Sisi ndo tunataka kuuza ni nyuma ya nyumba yetu na iko karibu na barabara...hyo pesa ndogo sana mbona...
Barabaran watu wanapaogopa kwa sasa kuliko zaman na hiyo njia mpya iliyojengwa inawapa watu hofu,ila nimekuambia sababu nmefundishwa kujua kununua zaid maana sitapata shida ya kuuza
 
Tafuta watu Wa real estate au land valuer ( asset valuers - accountants ) ..,
Ila vitu vifwatavuo huongeza value ya land
1) ukubwa Wa eneo
2) ukaribu na huduma muhimu mfano umeme, maji , huduma za afya n.k
3) ulinzi ( security ya eneo
4) matumizi ya eneo mfano linafaa kwa kujenga Shelly , apartments , supermarket n.k
5 ) nyaraka muhimu mfano Hati ya Kiwanja
6) mazingira ya eneo mfano bondeni au tambarale n.k
N.k ...so vitu kama hivyo vinaweza kukupa guidance katika kudetermine bei ya eneo lako ...

Adios
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…