Tafuta watu Wa real estate au land valuer ( asset valuers - accountants ) ..,
Ila vitu vifwatavuo huongeza value ya land
1) ukubwa Wa eneo
2) ukaribu na huduma muhimu mfano umeme, maji , huduma za afya n.k
3) ulinzi ( security ya eneo
4) matumizi ya eneo mfano linafaa kwa kujenga Shelly , apartments , supermarket n.k
5 ) nyaraka muhimu mfano Hati ya Kiwanja
6) mazingira ya eneo mfano bondeni au tambarale n.k
N.k ...so vitu kama hivyo vinaweza kukupa guidance katika kudetermine bei ya eneo lako ...
Adios