john mohammed Member Joined Mar 16, 2014 Posts 47 Reaction score 17 Nov 26, 2014 #1 Endapo kutakuwa na mwanamke mwenye uwezo kielimu kupita wengine katika familia kisheria .anamamlaka ya kuwa msimamizi wa MAMBO YOTE YA KIFAMILIA??
Endapo kutakuwa na mwanamke mwenye uwezo kielimu kupita wengine katika familia kisheria .anamamlaka ya kuwa msimamizi wa MAMBO YOTE YA KIFAMILIA??
C Chagga King JF-Expert Member Joined Jul 6, 2011 Posts 1,866 Reaction score 1,076 Nov 28, 2014 #2 Elimu siyo kigezo cha kuwa msimamizi, ingawa hujaeleza hayo mambo ya kifamilia ni yapi, yeye ni nani katika hiyo familia, na je, hakuna wazee, mfano baba?
Elimu siyo kigezo cha kuwa msimamizi, ingawa hujaeleza hayo mambo ya kifamilia ni yapi, yeye ni nani katika hiyo familia, na je, hakuna wazee, mfano baba?