Kujuana na watu wengi(Networks)!!!!

Mkuu nimekuelewa vema ila sasa nataka nifanye maamuzi magumu
 

Anza kuwaomba misaada utaona taratiibu wataanza kujikata,na utajikuta uko hulu hautapata usumbufu tena.
 
As of me ni kama vile unajuta kuwa na marafiki...
Ulimaanisha marafiki au just people you know??? Maana kuwa na marafiki kila unapoenda ni kazi nayo as inataka muda sana kukutana oftenly, kuzoeana na mpaka muwe marafiki. Or else you mean unafahamiana na watu wengi

To your topic
1.Never regret kuwa na marafiki wengi as ndo hao utacelebrate nao na kulia nao as well although kuna exception to every general rule thus dissapointment yaweza tokea pia
2. Marafiki hawawezi kwa of equal weight so waweke kwa uzito wao na hapo ndo litakapokuja suala la michango utajua give and take ballance inakuelekeza wapi uto na wapi upige ndiiii
 
Unajuana na watu ambao hawaleti faida. Jifunze kuwa selective unapotengeneza network.
 
It is not the quantity but the quality that matters...
 
Pole sana mkuu,
Nakushauri changia kutokana na uwezo wako, usifanye kuchangia kufurahisha marafiki/jamaa zako wakati huna huo uwezo.

Mimi binafsi huwa nachangia zaidi ndugu zangu wa karibu na baadhi ya marafiki kwenye mambo ya sherehe na shughuli nyinginezo, ila hao wengineo huwa natoa msaada/mchango endapo tu mtu anaumwa/ada (amefukuzwa shule)/imemtokea shida ambayo nafahamu kabisa huyu mtu hana uwezo naweza kumsaidia kwa hayo tu na sio mambo ya sherehe yoyote, kitchen party au send off.
:A S-coffee:
 
Najua watu wa kutosha na sijawahi kuchangia sijui harusi na vipaimara. Kama mtu anataka kufanya sherehe kubwa ajitegemee.

Ama kweli wanawake na maendeleo..., ni ww lizzy wa kusema hivyo....?
 
Huu utamaduni wa kuchangiana harusi kwakweli itabidi ufe

La msingi zichuje angalia za muhimu wape mchango wengine wachunie maana siku hizi mtu hata ukikutana kwenye daladala ukisalimiana nae ukamchekea anakupa kadi anakwambia mpwa wake anaoa/olewa
keshakwambia wote huwa anakip intouch na kila mtu kwake ana umuhimu
 

Ajipatiaye marafk wengi ajitengenezea mwnyw shimo la uharibifu. Kwa ushaur wangu kua makin na hao marafk coz c wote unawafaham undan wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…