Kujumlisha magoli ni ushamba au wanamkoga Magoma?

Kujumlisha magoli ni ushamba au wanamkoga Magoma?

20240808_225457.jpg

Sawa sawa
 
FADLU DAVIDS 👇

🗣"Naujua ubora wa Aziz Ki, najua pia ubora wa Pacome na wengine Ila nimewazuia, kilichotokea ni wachezaji wangu walikosa umakini kidogo kwenye dakika mbili au moja kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza."-

Fadlu Davids

Mr. Reporter
 
Jana nilishuhudia mashabiki wakishangilia timu yao kufungwa goli moja pekee ndani ya dakika 90! Nahisi mtoa mada alikuwa ni mmoja ya wale mashabiki.
 
Back
Top Bottom