Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kuna kijana kutoka kijijini alimaliza darasa la 12 na kufanikiwa kupata div IV. Alianza kilimo mpaka alipochoka kulima na kuamua kutafuta kibarua mjini. Kwa connection hapo alipofikia walimfahamu mzungu aliyetafuta msaidizi wa ndani. Yule kijana alipata kazi, na nyumba alipewa servants quarter, mshahara kima cha chini cha serikali na bima ya afya juu yake.
Baada ya mwaka mmoja alipata likizo. Alirudi kwao na zawadi nyingi. Wazazi wake walimpokea kwa furaha. Alikaa wiki mbili za likizo. Ndugu walikua bado na hamu nae. Walimuomba aongeze likizo, aliwaambia kuwa kazini anaaminika na kuhitajika sana maana hata funguo za chooni kwa boss anazishika yeye.
Baada ya mwaka mmoja alipata likizo. Alirudi kwao na zawadi nyingi. Wazazi wake walimpokea kwa furaha. Alikaa wiki mbili za likizo. Ndugu walikua bado na hamu nae. Walimuomba aongeze likizo, aliwaambia kuwa kazini anaaminika na kuhitajika sana maana hata funguo za chooni kwa boss anazishika yeye.