Hahaaa nyeto kama zotee au sioMleta mada utakuwa unapiga sana puli.
SureHahaaa nyeto kama zotee au sio
[emoji23] kikawaida si kila mtu ni fighter mkuu kuwa fighter kabla ya kupata ajira haimaanishi mafanikio na pia kukaa ndani kabla ya ajira haimanishi hautopata mafanikio wengi hawawezi hiyo kitu ila tuongee ukweli ni kuwa hata wale watoto ambao huwa wanakaa ndani tu huwa very intelligent...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] punguza povu mkuu ni utani tuHakuna kitu Kama hicho Hakuna kipimo cha kuthibitisha kua watu wanaokaa ndani ni Intelligent unakaa ndani unaangalia series zakikolea na single movie za kimarekani useme ni intelligent
Kama mm vileHabari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
mbona ni fresh tu mkuu ,mm mwenyewe huwa nashinda ndani kama sina mishe yeyote,sipende habari za vijiweni au za maskani mm nikitoka zangu kazin ni ndan ,utaniona natoka kwenda kuoga na chooni sisi tusio na self rooms,na mara nyingi nipo safari yani nikirud hom mtu hawez jua ,ukiwa ni mgeni kwangu na tukawa tumepanga nyumba moja utazan unaishi na jini,wageni watakuja kwangu ila mm hunioni hadi nikiwa nawasindikiza [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Habari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
Uko sahihi kabisa brother.[emoji23] [emoji23] nimekuuliza kwa kuwa mkuu haupo mwenyewr mwenye hiyo tabia na pia watu wengi wa hivyo huwa very intelligent kwa kuwa hawa afektiwi na mazingira na pia huchelewa sana kula pussy ..........
Form 6 leaver...humu wakat mwingine tunatukanana na watoto wetu kbs
Msongo wa mawazo unakuhusu!Habari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
I can imagine, jinsi watu wanavyokera kumbe ingekuwa live ni watoto wa kuchapwa..
Sio lazima kutoka ndani na kutembea ikiwa huna jambo la kulifanya huko njeHabari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
SwadaktaNi jambo jema..huhitaji kutoka nje kama huna ishu ya maana
Faida ni kubwa kuliko madara hivyo ni bora kuindea faidaMtaani kwenu kama wanakujua na washakuzoea badili tabia watakushangaa kwa mda huo lakini watasahau kama before ulikua wa kujichimbia ndani...ila kukaa ndani kuna faida zake ....unaepuka mambo mengi ...vilevile hasara zake ni kukosa umoja na wanaokuzunguka