Unaweza ikawa kweli asee...mtoto wa uncle anapenda kukaa ndani halafu hana demu hata wa kusingiziwa!...ila kuna siku nilisikia ukunga flani wa kimapenzi bafuni wakati anaoga!
Mkuu ndio umenifungua now...kumbe CHAPUTA on fleek!
wewe utakuwa ni mwali mtarajiwa kazanaHabari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima mpaka watu wananitania nakaa ndani utafikiri mwali..ushauri wakuu nifanyeje kuondoka hii tabia ya kushinda ndani tu
He he he heh eUnaweza ikawa kweli asee...mtoto wa uncle anapenda kukaa ndani halafu hana demu hata wa kusingiziwa!...ila kuna siku nilisikia ukunga flani wa kimapenzi bafuni wakati anaoga!
Mkuu ndio umenifungua now...kumbe CHAPUTA on fleek!
Mimi naweza nikakaa ndani hata Siku 3 ruti zangu ni jikoni chumbani sebuleni. Wala siboeki simu iwe Na chaji tu
Hahahahmbona ni fresh tu mkuu ,mm mwenyewe huwa nashinda ndani kama sina mishe yeyote,sipende habari za vijiweni au za maskani mm nikitoka zangu kazin ni ndan ,utaniona natoka kwenda kuoga na chooni sisi tusio na self rooms,na mara nyingi nipo safari yani nikirud hom mtu hawez jua ,ukiwa ni mgeni kwangu na tukawa tumepanga nyumba moja utazan unaishi na jini,wageni watakuja kwangu ila mm hunioni hadi nikiwa nawasindikiza [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji23][emoji23]Unaweza ikawa kweli asee...mtoto wa uncle anapenda kukaa ndani halafu hana demu hata wa kusingiziwa!...ila kuna siku nilisikia ukunga flani wa kimapenzi bafuni wakati anaoga!
Mkuu ndio umenifungua now...kumbe CHAPUTA on fleek!
Aisee kwamba mtoa mada inawezekana akawa mwanachamaKukaa sehemu moja muda mrefu bila kazi huleta vishawishi vya kujichua/punyeto
Bila shaka wewe utakuwa ni mwathirika wa hili janga!
Hahahaha aisee umenifurahisha sana kwamba mtoa mada akae ndani tu akisubiri hukumu yakeendelea kukaa ndani mpaka hukunu yako itakaposomwa
Hiki ulichokiandika hapa umekifikiria kwa kina au umejiropokea tu??? After all nilikuquote wewe au shoboo?...halafu eti una familia!.....wee utakuwa umezoea kulala na dada zako, unahisi kila mtu anafanya hivo! M.av.i. i yakoBinamu yako huyo, nyama ya hamu mpe japo kidogo atoe ukungu!! Punyeto tuu anapiga ukunga, k si atafia hapo?? 🤣🤣🤣
Daah ndo umenifungua hivyoo mkuuHe he he heh e
ndio inakuwaga hivyo mkuu.
Si ndo hapo, hakuna sehemu inaleta refreshment kama beach....mleta Uzi anakosa vingiPendelea kutembea wakati wa jioni au kwenda sehemu za beach au ufukweni mwa ziwa kupunga upepo au mtaani kwenu hakuna vijiwe vya kahawa au bodaboda kwenda kupiga story?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] si ndo hapo?Huo ni ulofa! Utakaaje ndani?
Hiki ulichokiandika hapa umekifikiria kwa kina au umejiropokea tu??? After all nilikuquote wewe au shoboo?...halafu eti una familia!.....wee utakuwa umezoea kulala na dada zako, unahisi kila mtu anafanya hivo! M.av.i. i yako
Si ndo hapo, hakuna sehemu inaleta refreshment kama beach....mleta Uzi anakosa vingi