Awe na hizo hela sasa........majanga hutokea ukiwa pyeee hata kumi huna utaishia kwa mvanga Tanga ulime vibarua miaka 10.....Ujinga ni kujifanya unajificha halafu unazima simu na kuwasha au kutupa Line ya simu na kununua mpya afu kuendelea kutumia simu Ile Ile.
Tupa simu tupa line uone kama utadakwa kirahisi. Ingekuwa mm ningekuwa Mogadishu muda huu
Tuhitimishe hapa kwa kusema tu kuwa hali ngumu ya kiuchumi ndiyo imemfanya kato akamatwe,maana inafika kipindi lazima uwapigie simu rafiki zako wa karibu wakubust kiuchumi.Kiufupi polisi duniani kote wana mitambo ya kusikiliza na kukutrack popote ulipo duniani kote.
Njia rahisi wakupate wana chukuwa namba za watu wako wa karibu kupitia mtandao wa simu.
Hapa hata kama utabadilisha namba wanajua huyu ni wewe kwa kupitia njia mbili sauti yako au wanamfata alie pigiwa atowe ushahidi kama kweli alikuwa mtuhumiwa alie ongea nae.
Mtuhumiwa kosa lake mara nyingi inayo sababisha akamatwe ni kufanya mawasiliano na mzee,mke,mchumba,ndugu au marafiki. Pia kutumia kitambulisho kama Passport au Nida kwa kusafiria au kusajili namba ya simu kwa kutumia vitambulisho husika. Pia njia ya kutumia kutoa hela kwenye bank yake kwa [emoji763] au tawi la bank hii hujua huyu mtu yupo eneo gani.
Matukio yote hayo PT wanayajua na wanashirikishwa.Believe me Tiss na PT walijua mpango wa Pk na una baraka zao.Nchi hii Haina Intel mbovu kama watu wanavyolopokwa humu mitandaoni.PT hawa hawa walioshindwa kuwakamata washambuliaji wa Lissu?
Hawa hawa ninaowajua mimi?
Intel mbovu za PT, Tiss, na Jw mpaka majasus ya Rwanda yanaingia nchini yanateka na kuondoka na watu 5 wa familia moja?
Mtafute mtu wa Telecom atakupa darasaKuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?
Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?
Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
Nyie ndio mnasababishaga jamaa apigwe ban kwani huwa mna muattack bila sababu yoyote ile.Wewe mnafiki mkubwa hopeless kabisa ulikuwa ukiponda sana Intelligence ya polisi na JWTZ ukwaita ohh Hawa walevi hawana lolote choka mbaya unajikomba sasa
Umeona mziki wao
Si ulikuwa unawaponda wewe
Ckuzote cmu huonyesha mahali ulipo, especially tz you can escape easily mtego wa kukamatwa na PT/ TISSKuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?
Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?
Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
Duh! Unaishi dunia ipi mkuu!!!Kuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?
Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?
Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
Sasa hapo,dereva wa bajaji alikuwa na pesa gani ya kutosha? Ambayo ni Sh ngapi?Hii Tanzania kubwa sana kujificha kwa mhalifu wa aina yoyote hata Osama Bin Laden angekuja kujificha huku hata Obama na Marekani yake wasingejua alipo pengine angekuwa hai mpaka leo.
Principle ya kwanza na muhimu ya kujificha uwe na pesa za kutosha trust hakuna tiss wala mtu yoyote atakayekupata.
Hivi mkuu, labda jambazi. Uue kwa bahati mbaya af ukae utulie! Af tena, umeua mwanajeshi? Dah! Sidhani. Huenda aliendelea na kazi yake,akasahau kuwa na picha yake inatembea,au alipiga simu kuaga kuwa anaingia huko ndo akadakwa.Sasa yeye Kato rasta km alishafanikisha kuingia Songea, si angechapa laba msumbiji kupitia njia ya mbinga had mitomonii.
Maana kupitia njia ya muhukuru angepata shida pale Mkenda.
Nweiii Afande Muna harudi tena Duniani, ndo ishatokaa hiyooo.
Kwa upelelezi wa nchi yetu aliyeokota ataunganishwa kwenye tukio au kesi ikamgeukia mazima. Polisine watu hawapendi kujisumbuavipi nikivunja lines zangu halafu sim nikatupa ikaokotwa na mwingine. Hapo nakuwa nimeuza msala?
Sahihi kabisa mkuu. Watu wanavichukulia poa vyombo vyetu vya ulinzi.Matukio yote hayo PT wanayajua na wanashirikishwa.Believe me Tiss na PT walijua mpango wa Pk na una baraka zao.Nchi hii Haina Intel mbovu kama watu wanavyolopokwa humu mitandaoni.
Haisaidii. Kikubwa itajulikana hiyo laini imetumika kwenye simu gani,namba imewasiliana na kina nani,wameongea nini.vipi nikivunja lines zangu halafu sim nikatupa ikaokotwa na mwingine. Hapo nakuwa nimeuza msala?
dah hapa kuna la kujifunza! Yani mpaka ukweli unakuja kujulikana tayari ushasota rumande kwa kipindi kirefuKwa upelelezi wa nchi yetu aliyeokota ataunganishwa kwenye tukio au kesi ikamgeukia mazima. Polisine watu hawapendi kujisumbua
Wee km aliingia songea, si angejichanganya kwa watu huko kijijini na kujifanya kibarua wa kulima msimu huu wake kabisa, angedakwa wapii?Kuna kuishiwa pesa unapiga simu nyumbani usaidiwe nauli.....hela kula ...unaweza kujikuta uko mganga miezi 6 umeishiwa oohhh