Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
Ndugu wana JF salaamu. Mimi si mwanasiasa, ila naomba ushauri/majibu kwenu.
Kutokana na taharifa zinazotolewa na vyombo vya habari, pomoja na baadhi ya post ambozo zimewekwa humu JF, nimekuwa namaswali mengi ambayo nashindwa kupata majibu yake ipasavyo.
Baadhi ya maswali hayo ni kama haya:
1. Hivi kadi hizi ni feki au ni halali?
a) Kama ni feki, nategemea wahusika wangechukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kunyangwanywa sifa za kuwa kiongozi.
b) kama ni halali, je kwanini inaonekana si sahihi kugawa hizo kadi za chama chake kama amepata wanachama wapya ili kukipa nguvu chama chake?
2:Swali kubwa la pili: Katika habari hizi za kugawa kadi, sehemu kubwa kama si yote ni kadi za chama tawala CCM, je vyama vingine vimekumbwa na kasfa kama hiyo?
3:Nashindwa kupata jibu ikiwa wana chama wa chama kimoja wanafanyiana fitina na mizengwe hivyo, watafanyaje kwa cahama pinzani?
Mimi kwa mawazo yangu, naona kama CCM wanafanyiana hivyo wao kwa wao, basi ina maana ndiyo tabia yao ya wizi/kugushi katika mambo mengi na inaashiria hata katika kipindi cha kupiga kura uchaguzi mkuu, watafanya mambo hayo hayo ya kuiba karatasi za kura na ili washinde uchaguzi.
Naombeni mchango wenu.
Kutokana na taharifa zinazotolewa na vyombo vya habari, pomoja na baadhi ya post ambozo zimewekwa humu JF, nimekuwa namaswali mengi ambayo nashindwa kupata majibu yake ipasavyo.
Baadhi ya maswali hayo ni kama haya:
1. Hivi kadi hizi ni feki au ni halali?
a) Kama ni feki, nategemea wahusika wangechukuliwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kunyangwanywa sifa za kuwa kiongozi.
b) kama ni halali, je kwanini inaonekana si sahihi kugawa hizo kadi za chama chake kama amepata wanachama wapya ili kukipa nguvu chama chake?
2:Swali kubwa la pili: Katika habari hizi za kugawa kadi, sehemu kubwa kama si yote ni kadi za chama tawala CCM, je vyama vingine vimekumbwa na kasfa kama hiyo?
3:Nashindwa kupata jibu ikiwa wana chama wa chama kimoja wanafanyiana fitina na mizengwe hivyo, watafanyaje kwa cahama pinzani?
Mimi kwa mawazo yangu, naona kama CCM wanafanyiana hivyo wao kwa wao, basi ina maana ndiyo tabia yao ya wizi/kugushi katika mambo mengi na inaashiria hata katika kipindi cha kupiga kura uchaguzi mkuu, watafanya mambo hayo hayo ya kuiba karatasi za kura na ili washinde uchaguzi.
Naombeni mchango wenu.