Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ndugu zangu,
Aliyekuwa DC wa Hai Ndg. Sabaya alifanikiwa mara kadhaa kudhibiti uhalifu na wahalifu wa Wilaya ya Hai waliotumia mgongo wa siasa.
Hata Mbowe mara kadhaa alidhibitiwa na wengi walisema mengi lakini kwa sasa ni dhahiri utagundua Mbowe alidekezwa na Sabaya, alidhibitiwa kwa heshima japo aliendelea kufadhili vijana kutengeneza maigizo.
Inasadikika mashahidi wengi kwenye kesi dhidi ya Sabaya ni wafuasi wa CHADEMA.
Kwa haya yanayoendelea sasa hivi dhidi ya Mbowe huenda yakabadili uelekeo dhidi ya kesi ya Sabaya. Huenda mashahidi wengi wakajiengua kwani muwezeshaji hayupo.
Aliyekuwa DC wa Hai Ndg. Sabaya alifanikiwa mara kadhaa kudhibiti uhalifu na wahalifu wa Wilaya ya Hai waliotumia mgongo wa siasa.
Hata Mbowe mara kadhaa alidhibitiwa na wengi walisema mengi lakini kwa sasa ni dhahiri utagundua Mbowe alidekezwa na Sabaya, alidhibitiwa kwa heshima japo aliendelea kufadhili vijana kutengeneza maigizo.
Inasadikika mashahidi wengi kwenye kesi dhidi ya Sabaya ni wafuasi wa CHADEMA.
Kwa haya yanayoendelea sasa hivi dhidi ya Mbowe huenda yakabadili uelekeo dhidi ya kesi ya Sabaya. Huenda mashahidi wengi wakajiengua kwani muwezeshaji hayupo.