pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,229
Kuna video ina trend, twitter inamuonesha ofisa mmoja wa serikali akiwa na waandishi wa habari kwenye ofisi ya kampuni inayomilikiwa na mama wa kizungu mmoja wakijibizana kwa madai kuwa kampuni hiyo ina kosa la kuwauzia wavuvi vifaa vya sola bila kupata kibali cha wizara ya uvuvi.
Watu wanajiuliza ina maana mteja akija kununua kitu kwangu inabid nimuulize kama yeye ni mvuvi au lah? ili kama ni mvuvi niende wizarani niombe kibali kwanza au?
Wanajiuliza zaid tena ina maana katika dunia hii ya sasa ambayo kuna mkazo mkubwa sana unaendelea juu ya matumizi vyanzo mbadala vya nishati, na kama ada, nishati ya jua inapewa mkazo sana, serikali yetu ina weka kauzibe katika kuuza vifaa hivyo??
Wengine wanauliza, hivi hawa maofisa wetu hawawezi kwenda mahali bila media, sababu now we have this video trending, ikimuonesha the so called mwekezaji akijibishana na ofisa wetu, kwa kitu ambacho kwa kwa judgement ya haraka inaonekana kama mwekezaji anafanya kazi kwenye mazingira magumu yanayotengenezwa na mifumo yetu.
Anyway watu wanaongea mengi ila mimi, naomba kwa waelewa wa hii sheria wanielekeze kosa katika muktadha huo ni lipi?
Watu wanajiuliza ina maana mteja akija kununua kitu kwangu inabid nimuulize kama yeye ni mvuvi au lah? ili kama ni mvuvi niende wizarani niombe kibali kwanza au?
Wanajiuliza zaid tena ina maana katika dunia hii ya sasa ambayo kuna mkazo mkubwa sana unaendelea juu ya matumizi vyanzo mbadala vya nishati, na kama ada, nishati ya jua inapewa mkazo sana, serikali yetu ina weka kauzibe katika kuuza vifaa hivyo??
Wengine wanauliza, hivi hawa maofisa wetu hawawezi kwenda mahali bila media, sababu now we have this video trending, ikimuonesha the so called mwekezaji akijibishana na ofisa wetu, kwa kitu ambacho kwa kwa judgement ya haraka inaonekana kama mwekezaji anafanya kazi kwenye mazingira magumu yanayotengenezwa na mifumo yetu.
Anyway watu wanaongea mengi ila mimi, naomba kwa waelewa wa hii sheria wanielekeze kosa katika muktadha huo ni lipi?