Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Tarehe 02nd June 2023, maofisa wa uhamiaji wa Uganda walikamata silaha za Falme za Kiarabu (UAE) zikipelekwa Sudani kupitia Chad kulingana na makala ya WSJ (Wall Street Journal) ya leo tarehe 10th August 2023.
Maafisa walionasa hizo silaha hizo walipowajuza mabosi zao hatua zipi wachukue walijibiwa wawaruhusu na wasipige picha silaha hizo na kuanzia hapo ndege za UAE zitakuwa zikishughulikiwa na wizara ya ulinzi. Safari za ndege za Falme za Kiarabu kwenda Sudan kupitia Chad zimeongezeka maradufu.
Kulingana na makala ya WSJ, Falme za Kiarabu zinamsaidia jenerali muasi anayeitwa Mohamed Hamdan Dagalo ambaye anapigana vita kumwondoa mtawala wa kijeshi wa nchi hiyo anayeitwa
Gazeti la Marekani la WSJ linasema Falme za Kiarabu zinampa jenerali Dagalo misaada ya kijeshi ili kulinda uwekezaji wao wa bandari, uchimbaji wa dhahabu, umiliki wa mashamba n.k wa kadhalika.
Sisi tunaona uwekezaji wa DP WORLD ni hatarishi kwa uhuru wetu (sovereignty).
Sasa chaguzi zetu zitakuwa zinaingiliwa na pesa za Falme za Kiarabu ili kulinda uwekezaji wao.
Tutashangaa kama mwaka huu utaisha kama NAFCO na NDC hazitafutwa na mashamba yao na ardhi yao yote hawatauziwa waarabu wa Falme za Kiarabu maana wana nia ya kumiliki ardhi kwa ajili ya kilimo na kuwalisha raia wao. Pia tutashangaa kama hawatamilikishwa migodi mingi kwa kulindwa na sheria wasilipe kodi.
Maafisa walionasa hizo silaha hizo walipowajuza mabosi zao hatua zipi wachukue walijibiwa wawaruhusu na wasipige picha silaha hizo na kuanzia hapo ndege za UAE zitakuwa zikishughulikiwa na wizara ya ulinzi. Safari za ndege za Falme za Kiarabu kwenda Sudan kupitia Chad zimeongezeka maradufu.
Kulingana na makala ya WSJ, Falme za Kiarabu zinamsaidia jenerali muasi anayeitwa Mohamed Hamdan Dagalo ambaye anapigana vita kumwondoa mtawala wa kijeshi wa nchi hiyo anayeitwa
Gazeti la Marekani la WSJ linasema Falme za Kiarabu zinampa jenerali Dagalo misaada ya kijeshi ili kulinda uwekezaji wao wa bandari, uchimbaji wa dhahabu, umiliki wa mashamba n.k wa kadhalika.
The U.A.E. is likely betting on Dagalo to help protect Emirati interests in Sudan, with its strategic location on the Red Sea, access to the Nile River and vast gold reserves. The U.A.E.’s interests include swaths of Sudanese farmland and a stake in a planned $6 billion port on the Red Sea…….
…..In one of the latest deliveries, trucks loaded with military suppliesfrom the U.A.E. left Amdjarass airport the final week of July for Sudan’s Al-Zarq area, an RSF stronghold in northern Darfur, the African official and a former U.S. official said.
Sisi tunaona uwekezaji wa DP WORLD ni hatarishi kwa uhuru wetu (sovereignty).
Sasa chaguzi zetu zitakuwa zinaingiliwa na pesa za Falme za Kiarabu ili kulinda uwekezaji wao.
Tutashangaa kama mwaka huu utaisha kama NAFCO na NDC hazitafutwa na mashamba yao na ardhi yao yote hawatauziwa waarabu wa Falme za Kiarabu maana wana nia ya kumiliki ardhi kwa ajili ya kilimo na kuwalisha raia wao. Pia tutashangaa kama hawatamilikishwa migodi mingi kwa kulindwa na sheria wasilipe kodi.