Woow!! karibu sanaNipo tanga kule kulikozaliwa vitu adimu
Kweli me cio mwenyeji ni mgen naninachoongea ni kweli ss kma wanatka kunitkna saw shahud yangu mungu cna uzoefu wwte humu ndani mnisamehe kma nawakwazaa plzWewe mwenyeji wewe usituzuge.. yaanibkuna watu wanatengeneza mazingira uwaendee pm halafu wakutukane. Muache hizo tabia. Nshakujua wewe
Nshakuambia tuondokeeee
Mazingira yako poa karibia tu.Mgen humu jmn naomba mnipokeee mnionyshe mazingira yahumu ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] shikamoo binamu
HahahaKang’ang’ana anataka aikague mambo ya CAG LOL!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] shikamoo binamu
HahahaaaMkuu huyo kwenye avatar ni wewe?
Hahahaaa