SAFAM classic
Member
- Oct 8, 2022
- 10
- 2
Wapwa naombeni msaada. . Dirisha la kukata rufaa limefunguliwa RASMI HELSB tar 13/11/2022 .Nimepata mkopo ila sijaridhishwa na kiasi cha mkopo nilipata . Je naweza kukata rufaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeees unaweza kukata rufaa ila jipange uwe na sifa kwelikweli ,Maana Bodi wewe ukimwaga mboga wao wanamwaga ugaliWapwa naombeni msaada. . Dirisha la kukata rufaa limefunguliwa RASMI HELSB tar 13/11/2022 .Nimepata mkopo ila sijaridhishwa na kiasi cha mkopo nilipata . Je naweza kukata rufaa?
Hivyo vyote bila connection ni kazi bureAndaa documents zako vizuri
Tasaf
Barua za udhamini wa masomo
Vyeti/cheti Cha kifo au vifo
Disability kutoka kwa DMO au RMO
Tofauti na hapo sijui
Usikalili MkuuHivyo vyote bila connection ni kazi bure
Ndio njia pekee ya kumsaidia kijanaUsikalili Mkuu
Sio kila kitu ni connection Kama unavyowaza Mkuu sasa Kama Hana Mtu anamjua afanyeje ?Ndio njia pekee ya kumsaidia kijana
Hapo haikai picha ndugu . Weka pdfNaomba MSAADA jinsi ya ku fix hili tatizo
Acha ku screenshot. ScanNaomba MSAADA jinsi ya ku fix hili tatizo
Hata ukikata rufaa huwezi kupata...hiyo pesa uliyopata ridhika nayoWapwa naombeni msaada. . Dirisha la kukata rufaa limefunguliwa RASMI HELSB tar 13/11/2022 .Nimepata mkopo ila sijaridhishwa na kiasi cha mkopo nilipata . Je naweza kukata rufaa?
Jiandae kwa loloteJaman samahan pia...unaomba niulize iv ukicancell mkopo af ukaomba tena mwakan ni huwez kupata?? Maan me nimepata mkopo lakin course niliyochaguliwa cjapenda na dirisha la transfer limefungwa ...ndo nauliza kama nitacancell mkopo af niapply mwakan ni probability ya kupata ipo au hamna kabsa?
Postpone chuo mwakani uwahi kubadili course na uwasiliane na loan officer mkopo wako wai pause ,kama iyo course ipo kwenye icho chuo lakiniJaman samahan pia...unaomba niulize iv ukicancell mkopo af ukaomba tena mwakan ni huwez kupata?? Maan me nimepata mkopo lakin course niliyochaguliwa cjapenda na dirisha la transfer limefungwa ...ndo nauliza kama nitacancell mkopo af niapply mwakan ni probability ya kupata ipo au hamna kabsa?
Mi nimefanya hiyoo kitu mwaka jana na mwaka huu nimepata tena, ila syo uhakika kupata tena, sabab watu wengi walinambia sitapata tena, mpk kupata awamu hii nimepambana sana na stress km hauna ishu ya kufanya kwa muda huo utakao kaa mtaani ni heri ukasome kingine angalia uwezo wa familia yako mwakani itaweza kukusomesha ukikosa mkopo. Ni maamuzi magumu yanayofanywa na watu wagumu km syo mgumu usijaribu. "Weka mbali na watoto"Jaman samahan pia...unaomba niulize iv ukicancell mkopo af ukaomba tena mwakan ni huwez kupata?? Maan me nimepata mkopo lakin course niliyochaguliwa cjapenda na dirisha la transfer limefungwa ...ndo nauliza kama nitacancell mkopo af niapply mwakan ni probability ya kupata ipo au hamna kabsa?
Nadhani kakuelewaMi nimefanya hiyoo kitu mwaka jana na mwaka huu nimepata tena, ila syo uhakika kupata tena, sabab watu wengi walinambia sitapata tena, mpk kupata awamu hii nimepambana sana na stress km hauna ishu ya kufanya kwa muda huo utakao kaa mtaani ni heri ukasome kingine angalia uwezo wa familia yako mwakani itaweza kukusomesha ukikosa mkopo. Ni maamuzi magumu yanayofanywa na watu wagumu km syo mgumu usijaribu. "Weka mbali na watoto"
Kaviweke bondi ujasi hapa leta pesa atutaki vyeti🤣🤣🤣🤣🤣Na sisi tunaotaka kurudisha vyeti vyao ili tumalizane kwenye mikopo tunafanyaje
Kama hsujasajiliwa chuo na kusaini mkopo mwakani panapo majaaliwa utapata vizuri tu .Mimi ninao mfano hapa nyumbani kuna ndugu yangu alichaguliwa UDoM mwaka jana na mkopo alipata sasa yeye kutokana na matatizo hakuripoti wala kujisajili mwaka huu kaomba na kapata yuko chuo.Jaman samahan pia...unaomba niulize iv ukicancell mkopo af ukaomba tena mwakan ni huwez kupata?? Maan me nimepata mkopo lakin course niliyochaguliwa cjapenda na dirisha la transfer limefungwa ...ndo nauliza kama nitacancell mkopo af niapply mwakan ni probability ya kupata ipo au hamna kabsa?
Na anasoma Udom chuo cha KATA😅Kama hsujasajiliwa chuo na kusaini mkopo mwakani panapo majaaliwa utapata vizuri tu .Mimi ninao mfano hapa nyumbani kuna ndugu yangu alichaguliwa UDoM mwaka jana na mkopo alipata sasa yeye kutokana na matatizo hakuripoti wala kujisajili mwaka huu kaomba na kapata yuko chuo.
Mwaka jana alichaguliwa UDoM hakuripoti sasa hivi yupo NIT.Na anasoma Udom chuo cha KATA😅