Hivi kama umeajiriwa na miaka yote umefanya kazi ya aina fulani, anatokea Boss anakwambia ufanye kazi fulani post nyingine lkn hiyo kazi kipengele unayoiwezea unakubali kuifanya ile ambayo hujawahi kuifanya unaikataa, hii imekaaje ni utovu wa nidhamu ama?