Uchaguzi 2020 Kukataliwa kwa CCM kwenye mikutano kusimamisha shughuli za kampeni nchini

Uchaguzi 2020 Kukataliwa kwa CCM kwenye mikutano kusimamisha shughuli za kampeni nchini

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Tume ya uchaguzi mnashindwa kujitenga na chama Cha mapinduzi.

Mliaanza kuwapa ushindi wa mezani, mkamaliza mkawasimamisha wagombea wa udiwani na Ubunge kufanya kampeni lakini homa ikazidi kuongezeka.

Magufuli baada ya kufanya kampeni siku mbili Iringa,Songwe na Mbeya akagonga mwamba akaona isiwe tabu akapumzike.

Ikumbukwe kabla ya kwenda iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lisu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa CCM.

Tunaelewa hii anaifanya mgombea wa ccm makusudi akiamini tume mpo kumbeba Tarehe 28/10/2020, lakini siamini kama hizi akili za mtu mmoja kupangia Taifa lifanye nn kwa wakati gani Ni akili za maendeleo. Anadumaza nchi kifikra na kimaendeleo

Wabunge wa CCM hawafanyi kampeni kwa sababu fedha wamenyimwa lakini pia si kunyimwa tu Bali wameelekezwa kutokujisumbua sana na kampeni kwa sababu mtawapitisha. Hakuna mwanaccm anayefanya kampeni wote wanapita mtaani siku moja wanapotea wiki. Miaka ya nyuma kampeni zilifanyika kwa kuwaheshimu wananchi.

Tume mmeshindwa, wananchi ni wakati wao wakusikiliza sera siyo wakati wakufungia kampeni kwa sababu wanaoumia si wagombea Bali Ni wananchi, kumbukeni siku hazisimami
 
Hivi CHADEMA mtaingia barabarani tarehe ngapi 30 au 29?
 
Ndugu zangu VANYALUKOLO pale Njombe walifanya vizuri. Hawataki unafiki. Walivaa nguo zao za CCM. Lakini walipoambiwa:

CCM oyee - oyeeeeee
Magufuli oyee - kimya (zikasikika sauti za wachache waliopo kwenye msafara)

Hakukuwa na namna, zaidi ya kupiga magoti. Lakini haijabadilisha kitu. Nami nasogea huko. Na kwa nafasi yangu katika jamii, hakika sitashindwa kumtafutia Lissu, kiwango cha chini kura 5,000. Nimetenga siku 10 kwaajili ya hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu VANYALUKOLO pale Njombe walifanya vizuri. Hawataki unafiki. Walivaa nguo zao za CCM. Lakini walipoambiwa:

CCM oyee - oyeeeeee
Magufuli oyee - kimya (zikasikika sauti za wachache waliopo kwenye msafara)

Hakukuwa na namna, zaidi ya kupiga magoti. Lakini haijabadilisha kitu. Nami nasogea huko. Na kwa nafasi yangu katika jamii, hakika sitashindwa kumtafutia Lissu, kiwango cha chini kura 5,000. Nimetenga siku 10 kwaajili ya hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Komaa wifike ata laki tano lakini hamtoboi ng'oo.
 
Tume ya uchaguzi mnashindwa kujitenga na chama Cha mapinduzi.

Mliaanza kuwapa ushindi wa mezani, mkamaliza mkawasimamisha wagombea wa udiwani na Ubunge kufanya kampeni lakini homa ikazidi kuongezeka.

Magufuli baada ya kufanya kampeni siku mbili Iringa,Songwe na Mbeya akagonga mwamba akaona isiwe tabu akapumzike.

Ikumbukwe kabla ya kwenda iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lisu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa CCM.

Tunaelewa hii anaifanya mgombea wa ccm makusudi akiamini tume mpo kumbeba Tarehe 28/10/2020, lakini siamini kama hizi akili za mtu mmoja kupangia Taifa lifanye nn kwa wakati gani Ni akili za maendeleo. Anadumaza nchi kifikra na kimaendeleo

Wabunge wa CCM hawafanyi kampeni kwa sababu fedha wamenyimwa lakini pia si kunyimwa tu Bali wameelekezwa kutokujisumbua sana na kampeni kwa sababu mtawapitisha. Hakuna mwanaccm anayefanya kampeni wote wanapita mtaani siku moja wanapotea wiki. Miaka ya nyuma kampeni zilifanyika kwa kuwaheshimu wananchi.

Tume mmeshindwa, wananchi ni wakati wao wakusikiliza sera siyo wakati wakufungia kampeni kwa sababu wanaoumia si wagombea Bali Ni wananchi, kumbukeni siku hazisimami
Kama hujui ni bora ukanyamaza kuficha upumbavu wako,pathetic
 
Tume ya uchaguzi mnashindwa kujitenga na chama Cha mapinduzi.

Mliaanza kuwapa ushindi wa mezani, mkamaliza mkawasimamisha wagombea wa udiwani na Ubunge kufanya kampeni lakini homa ikazidi kuongezeka.

Magufuli baada ya kufanya kampeni siku mbili Iringa,Songwe na Mbeya akagonga mwamba akaona isiwe tabu akapumzike.

Ikumbukwe kabla ya kwenda iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lisu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa CCM.

Tunaelewa hii anaifanya mgombea wa ccm makusudi akiamini tume mpo kumbeba Tarehe 28/10/2020, lakini siamini kama hizi akili za mtu mmoja kupangia Taifa lifanye nn kwa wakati gani Ni akili za maendeleo. Anadumaza nchi kifikra na kimaendeleo

Wabunge wa CCM hawafanyi kampeni kwa sababu fedha wamenyimwa lakini pia si kunyimwa tu Bali wameelekezwa kutokujisumbua sana na kampeni kwa sababu mtawapitisha. Hakuna mwanaccm anayefanya kampeni wote wanapita mtaani siku moja wanapotea wiki. Miaka ya nyuma kampeni zilifanyika kwa kuwaheshimu wananchi.

Tume mmeshindwa, wananchi ni wakati wao wakusikiliza sera siyo wakati wakufungia kampeni kwa sababu wanaoumia si wagombea Bali Ni wananchi, kumbukeni siku hazisimami
Ikumbukwe kabla ya kwenda iringa alikua kapumzika siku tano mfululizo, kukatishwa kwa kampeni na mgombea huyu kwa sababu za kubana matumizi kumelazimisha tume mstopishe kampeni za Lisu ili naye akae nyumbani Kama mgombea wa
IMG-20201005-WA0079.jpg
 
Back
Top Bottom