Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Waziri wa kilimo ameandika kwenye ukurasa wake wa kijamii.
Kuwa maparachichi yaliyo enda kuuzwa nchini Afrika ya kusini kutokea Tanzania yamekataliwa na kutupwa kutokana na mapungufu ya ubora unao hitajika ikiwemo kuchumwa yakiwa bado machanga au hayaja komaa vizuri.
Je lawama apewe nani kati ya mkulima na mnunuzi au maafisa wa ugani?
Tunajifunza nini kwa hili?
=====
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amekanusha Habari hii
======
Hii SI habari ya kweli, ni picha za mwaka 2020
Oda za kwenda Afrika kusini zipo, zinaendelea vizuri na zinaongezeka, na tuna habari njema ya kuanza maongezi na nchi ya India.
Hizi habari za UONGO, na zipuuzwe.
Kuwa maparachichi yaliyo enda kuuzwa nchini Afrika ya kusini kutokea Tanzania yamekataliwa na kutupwa kutokana na mapungufu ya ubora unao hitajika ikiwemo kuchumwa yakiwa bado machanga au hayaja komaa vizuri.
Je lawama apewe nani kati ya mkulima na mnunuzi au maafisa wa ugani?
Tunajifunza nini kwa hili?
=====
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amekanusha Habari hii
======
Hii SI habari ya kweli, ni picha za mwaka 2020
Oda za kwenda Afrika kusini zipo, zinaendelea vizuri na zinaongezeka, na tuna habari njema ya kuanza maongezi na nchi ya India.
Hizi habari za UONGO, na zipuuzwe.