Kukatika jukwaani

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Hii kazi ni ngumu sana ya kucheza pale mbele jukwaani ,,kati ya kazi hii ni kiboko,,,kwenye bar naona wanaweka bendi halaf wadada wanakatika kweli,najiuliza hawajaona kazi zingine au ndio hawataki hata kuuza nyanya na mboga mboga,,mbona naona kazi sans kucheza pale mbele halaf watu kibao wanakuangalia,,
Hii ni kazi kweli au kujisumbua tu,,,hata wale wanaocheza majukwaani kwenye matangazo ya biashara kama vodacom,dawa za meno huwa naona ajabu na naona wana mioyo migumu [emoji23]
We kazi gani kwako waiona ngumu sana na hutoweza kuifanyaa
 
Nini umekipa kipaombele.??

You can do anything just believe urself.
 
Hapo uko sahihi sana. Ila tunatofautiana usichopenda wewe mwenzako anakihitaji. Hapo ndio tulipotofautina. Nikama kazi tuu hii ya kuuza nyanya wewe unaiona nzuri nanikweli nzuri ila kuna mwenzako naye anajiona haiwezi kwani inamdhalilisha eti yeye ni matawi ya juu. Hiyo ndio tofauti yenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…