Aureus Ndimbo
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 211
- 95
Uongozi wa Tannesco mtwara jaribuni kutatua changamoto hii kama ipo ndani ya uwezo wenu. Tinategemea umeme kufanya shughuli za kujikwamua kiuchumi huku vijijini.
Kumekuwa na tatizo la kukatikakatika umeme mtwara vijijini hasa laini ya mpapura,libobe kitere Mara kwa Mara kitendo kinachosababisha kukwama kwa baadhi ya shughuri za kiuchumi
Tunaomba kama inawezekana tatizo Hilo lipate ufumbuzi japo natambua sio sehemu husika lakinj naamini huenda baadhi ya viongozi na watendaji wapo humu JF.
Kumekuwa na tatizo la kukatikakatika umeme mtwara vijijini hasa laini ya mpapura,libobe kitere Mara kwa Mara kitendo kinachosababisha kukwama kwa baadhi ya shughuri za kiuchumi
Tunaomba kama inawezekana tatizo Hilo lipate ufumbuzi japo natambua sio sehemu husika lakinj naamini huenda baadhi ya viongozi na watendaji wapo humu JF.