Kukatika kwa umeme kila siku imekuwa kero sana kwa wenye biashara ndogo

Kukatika kwa umeme kila siku imekuwa kero sana kwa wenye biashara ndogo

El Fuego

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2020
Posts
495
Reaction score
969
Wakuu kwema?

Kukatika kwa umeme kila siku kumekuwa kero sana hasa kwa biashara ndogo.

Tatizo ni nini?

Kwanini kila siku?

Yaani tatizo la umeme kwenye nchi yangu naweza kufa na bado lipo ni kama imekuwa laana.

Niwatakieni siku njema.
 
Wakuu kwema?

Kukatika kwa umeme kila siku kumekuwa kero sana hasa kwa biashara ndogo.

Tatizo ni nini?

Kwanini kila siku?

Yaani tatizo la umeme kwenye nchi yangu naweza kufa na bado lipo ni kama imekuwa laana.

Niwatakieni siku njema.
Nchi gani ya dunia ya tatu haina tatizo la umeme?
 
Watu waliojiajiri kwenye shughuli zinazohitaji umeme wanapata taabu sana kipindi hiki.
 
Wakuu kwema?

Kukatika kwa umeme kila siku kumekuwa kero sana hasa kwa biashara ndogo.

Tatizo ni nini?

Kwanini kila siku?

Yaani tatizo la umeme kwenye nchi yangu naweza kufa na bado lipo ni kama imekuwa laana.

Niwatakieni siku njema.
Mi naona ni poa tu na ukatike katike zaidi ya hapa,,,,,,,,,,,
 
Hili suala limeathiri shughuli nyingi sana Kwa watu wengi sio hao uliowataja tu,Swali langu ni kama lako hili tatizo litaisha lini? Linatugharimu sana Kwa kweli na linatuyumbisha kiuchumi
 
Back
Top Bottom