KERO Kukatika maji hovyo Nyamanoro, Ghana na Kona ya Bwiru-Mwanza

KERO Kukatika maji hovyo Nyamanoro, Ghana na Kona ya Bwiru-Mwanza

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

angel007

New Member
Joined
May 15, 2023
Posts
2
Reaction score
0
Kuna kukatika maji haya maeneo wiki nzima kwa sasa na hakuna taarifa maalum kwa wateja kutoka Mwauwasa,kuna mdau yoyote anajua kinachoendelea?

Kilichopo ni kwamba unaweza stuka ghafla maji hamna na hujahifadhi.

Nafikiri kama kuna changamoto taarifa ziwekwe wazi na ratiba ifahamike ili kila mtu ajipange
 
Back
Top Bottom