Elections 2015 Kukatwa kwa Lowassa, ni mwisho wa ile safari, au ni mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?


Hivi alikatwa na CC au NEC au hukumsikiliza Nchimbi na Simba
 
Pasco,
haya hayawi hayawi yamekuwa, sasa nasema hivi kumchinja kuku unamwelekeza Kibla unamkanyaga mbawa zake na kupanda shingo lake kisha unapitisha kisu watu wakiangalia na wengine wakishangilia, hivyo ndivyo kifo cha Lowassa na UKAWA.
Mkuu , kifo hiki unachokizungumza ni kifo cha CCM!, ila pia nimegundua tuna watu humu waliokuwa wakijifanya ni pro opposition, huku mioyoni mwao wanaipenda CCM kwa dhati, sasa baada ya kuenea hizi habari za possibility ya Lowassa ku cross ambayo ndio kifo cha ukweli cha CCM, sasa wanaingiwa uoga na kuanza kujionyesha rangi zao halisi kwa kuchelea kifo cha CCM!. Nasema kwa msisitizo, Lowassa akisimama UKAWA, CCM Chali!.

Mawazo haya mimi nayaita ya ki CCM, determinant ya ushindi wa Lowassa dhidi ya CCM sio mbinu gani zitakazotumiwa bali Lowassa ni mtu aliyejaaliwa karama ya mvuto wa 'vox populi' ambayo ndio 'vox Dei!'!, CCM hawana, Magufuli hana!. Tukubali tukatae kama ni nguvu ya utendaji, Magufuli ni mtendaji mzuri kuliko Lowassa, Magufuli ni muongeaji mzuri kuliko Lowassa!, ila Magufuli hana hiyo karama ya 'vox populi!', hivyo Magufuli sio 'Vox Dei!".

Karibu unitembelee hapa
[h=3]Kuelekea Octoba 2015: Je, Hii "Vox Populi" ni "Vox Dei" [/h]At this juncture, nawaomba nyie ma Great Thinkers wa JF, watu wenye ushawishi mkubwa humu, tuungane kwenye hili, yuutumie uwezo wetu na nguvu yetu ya ushawishi, kuisupport hii move ya Lowassa ili tuipumzishe CCM, unless kama nilivyosema mwanzo, kama wenzetu ni pro opposition kwa nje na mna mapenzi na CCM kwa ndani, mnaweza kuendelea na kazi ya kumbomoa Lowassa na kuibeza UKAWA, we real need you, kwenye together we stand, but ukombozi wa Tanzania, don't depend on you!, we bank on "vox populi!", you only have two choices, either with us or against us!.

Aluta Continua Victoria Acerta!.

Pasco
 
Either you support and vie through TNA (In this perception "CDM") (in central Kenya) or you perish!- Uhuru Kenyatta
Hivi ndivyo ilivyo. Ukweli na usemwe,hii coaction ya Chadema na EL ni deadly working machine. hata huko majimboni masalia ya wagombea ubunge wa ccm watakuwa na hali tete,haijalishi ni kwa Mwakyembe,kwa muhongo,kwa Mwigulu,Ni bomoa bomoa tu. Pasco nimekukubali. I admire you folk.
 
Last edited by a moderator:
Sema kipenzi cha wapenda pesa. Kama kipenz cha wengi mbona huko cc wamemfyeka?

1. Kwani CC jina lake liliingia..??? Acha upofu wa fikra, ni mbaya sana...
2. Hivi unajuwa CC yaliingia majina mangapi?
3. Unajuwa kamati ya maadili ilifanya nini?
4. Unajuwa siri ya wajumbe wa kamati ya CC kuimba wana imani naLowasa.?
 
Mkandara,

Kwa taarifa tu EL hakukatwa na CC wala NEC bali kamati ya maadili, lakini hata baada ya jina lake kukatwa bado nguvu yake ilionekana kwa kulazimisha chaguo ambalo hawakutegemea (Magufuli).

Pili Lowassa anaijua CCM na Kikwete in and out ana watu wakubwa ndani ya chama na serikali kwa hiyo chochote watakachopanga lazima kimfikie.

Ni ukweli usiopingika kama akifanikiwa kuupata urais ataweka anaowataka, sawa hata mimi ningefanya hivyo lakini kumbuka kuna makubaliano possibly chanya ambayo hatuyajui ambayo lazima yazingatiwe na chama kama taasisi.

Binafsi nafikiri real pro opposition wengi (Pasco) watakubaliana na mimi kuwa tembo afe kwanza suala la nani atachukua maini lije baadaye, tukibaki kuzozana nani atachukua hiki tembo atazidi kukua mwisho tutastukia kala mazao yote.

Kuhusu billions za EL hiyo siyo issue kwa vile Chadema ilikuwa imejipanga kuingia kwenye uchaguzi bila hata Lowassa, Lowassa na billion zake kama kweli zipo is an added advantage au kama Pasco anavyoita ni sawa na catalyst kwenye uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:



Mkuu Pasco you are a living legend!
 
Last edited by a moderator:

Nafanya tafakuri tuu.

P.
 
Daah.. Hili Game zuri kweli. Ukilitazama kwa mbali unaweza tengeneza Novel ya Kiswahili yenye kuuzika vizuri. Lowassa kwa watanzania hakakiti aisee. " ULIPO TUPO.
 
kiongozi Pasco uliona mbaaali saana. mabadiliko2015
 
Last edited by a moderator:
Pasco uliona mbali sana. Congratulations to you my brother.
 
Last edited by a moderator:
Pasco kuna vitu unavijua kabla ya wengi.

Tupe siri ya urembo.
 
Lowassa ni superPower amefanya kampeni mara 4 katika uchaguzi wa mwaka huu,kura za mjini na vijijini anazo za kutosha,kumbuka huyu alikuwa ccm miezi 4 iliyopita.
 
Lowassa ni superPower amefanya kampeni mara 4 katika uchaguzi wa mwaka huu,kura za mjini na vijijini anazo za kutosha,kumbuka huyu alikuwa ccm miezi 4 iliyopita.
HABARI YA LOWASSA HAINA MVUTO TENA. HAKUNA SIKU NILIFURAHI KAMA ALIPOKATWA NA CCM. ALIJIDANGANYA KWAMBA YEYE NI MAARUFU KULIKO CHAMA! AKATHIBITISHIWA KWAMBA SIYO HIVYO. KAKATWA NA MAISHA YANAENDELEA. SAAAAAAAAAAAAAFIIIIIIIIIIIIIII!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…