M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
1. Kukatwa kwa Msaada wa takribani Trillioni 1 TZS kwenye sekta ya Afya/Elimu kwa mwaka. Hilo litaumiza kila mtu, tusifurahie kindezi.
2. Sekta nyingine kama TRA (income tax), Health insurance, general insurance, mabenki (mikopo ya wafanyakazi), domestic airlines, kampuni za Magari zote zinakwenda kulia)).
2. Sekta nyingine kama TRA (income tax), Health insurance, general insurance, mabenki (mikopo ya wafanyakazi), domestic airlines, kampuni za Magari zote zinakwenda kulia)).