M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Swadaqta!Hapa ndiyo tunajua kama tuna viongozi wasomi au vilaza acheni tuanze kuitegemea...hizo degree zao za uchumi hapa ndipo sehemu muhimu pa kufanyia kazi, mtegemea cha ndugu hufa masikini waswahili walisema
Kwani msaada huu umekatwa Tanzania pekee au dunia nzima maana kwa mara ya kwanza naona watu wanalia kwa kukosa hisani kama nchi ndio ibane matumizi na kujitahidi kusaidia raia wake kwa namna yeyote mawaziri wanatapanya pes kwa kununua magari ya gharama na matimu ya mipira mahekalu ufukweni!1. Kukatwa kwa Msaada wa takribani Trillioni 1 TZS kwenye sekta ya Afya/Elimu kwa mwaka. Hilo litaumiza kila mtu, tusifurahie kindezi.
2. Sekta nyingine kama TRA (income tax), Health insurance, general insurance, mabenki (mikopo ya wafanyakazi), domestic airlines, kampuni za Magari zote zinakwenda kulia)).
1. Kukatwa kwa Msaada wa takribani Trillioni 1 TZS kwenye sekta ya Afya/Elimu kwa mwaka. Hilo litaumiza kila mtu, tusifurahie kindezi.
2. Sekta nyingine kama TRA (income tax), Health insurance, general insurance, mabenki (mikopo ya wafanyakazi), domestic airlines, kampuni za Magari zote zinakwenda kulia)).
Trump anafanya vyema, hii itasaidia sana kuwafanya waAfrika wengi(hususani Watu weusi) kuanza kuwa na akili nzuri ya kuweza kujitegemea wao wenyewe.Hapa ndiyo tunajua kama tuna viongozi wasomi au vilaza acheni tuanze kuitegemea...hizo degree zao za uchumi hapa ndipo sehemu muhimu pa kufanyia kazi, mtegemea cha ndugu hufa masikini waswahili walisema
Matumizi mabaya Sana ya Fedha za Kodi za Wananchi, Matumizi ya anasa na ya kufuru yasiyofaa, yasiyokuwa na tija yoyote ile kwa Wananchi walipakodi.Kwani msaada huu umekatwa Tanzania pekee au dunia nzima maana kwa mara ya kwanza naona watu wanalia kwa kukosa hisani kama nchi ndio ibane matumizi na kujitahidi kusaidia raia wake kwa namna yeyote mawaziri wanatapanya pes kwa kununua magari ya gharama na matimu ya mipira mahekalu ufukweni!
Kama ngedere kushangilia kifo cha mwenye shamba la mahindi, tuna shida sana wabongo!1. Kukatwa kwa Msaada wa takribani Trillioni 1 TZS kwenye sekta ya Afya/Elimu kwa mwaka. Hilo litaumiza kila mtu, tusifurahie kindezi.
2. Sekta nyingine kama TRA (income tax), Health insurance, general insurance, mabenki (mikopo ya wafanyakazi), domestic airlines, kampuni za Magari zote zinakwenda kulia)).
KifoooKama ngedere kushangilia kifo cha mwenye shamba la mahindi, tuna shida sana wabongo!
Trump njoo umulike na huku kuna mafisadi kibao wameiba fedha za umma na hizo ulizokuwa unatoa misaada wakajenga vituo vingi vya mafuta na nyingine wameficha akaunti za nje ili kuwaandalia mazingira watoto wao kugombea urais au kuwa viongozi huko mbeleni.1. Kukatwa kwa Msaada wa takribani Trillioni 1 TZS kwenye sekta ya Afya/Elimu kwa mwaka. Hilo litaumiza kila mtu, tusifurahie kindezi.
2. Sekta nyingine kama TRA (income tax), Health insurance, general insurance, mabenki (mikopo ya wafanyakazi), domestic airlines, kampuni za Magari zote zinakwenda kulia)).
Kama kawaida natarajia haya yafuatayo:Hapa ndiyo tunajua kama tuna viongozi wasomi au vilaza acheni tuanze kuitegemea...hizo degree zao za uchumi hapa ndipo sehemu muhimu pa kufanyia kazi, mtegemea cha ndugu hufa masikini waswahili walisema