Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Kuna wakati inafika wanandoa hawaridhishani, hasa mke haridhishwi.
Nazungumzia kwa wale wanandoa ambao mume umri umeenda na utendaji umedrop sana. Bao moja jogoo haamki tena! Utakuta mke bado anatamani ila hawezi kupata na mke mwenyewe bado analipa. Akitafuta mtu wa kumkuna kuna ubaya? Anahitaji nae kutosheka.
Hii imekaaje. Hili Si suala dogo lakini
muulize huyo mkuu kiongozi!...anadhani ndoa ni huo upuuzi pekee
hapa umedanganya kuhusu umri. la maana katika uwezo ni afya kwa taarifa yako kuna wazee wanaleta balaa mpaka vijana wanaondoka. suala si kupishana umri suala ni namna gani afdya yako inaruhusu kucheza pachanga
Kingi umeshaoa? kama umeoa ndoa yako ina muda gani?
tuwashukuru waliogundua kiboko ya paulina
too low!..tutake radhi mzee. Ndoa huijui vyema pia. Au ww ni miongoni mwa wale wasiowatosheleza wenzi wao?
too low!..
muda ni mfupi mno KAMA ULIVYOANDIKA!...nothing can be justified.lakini nitakupa siri moja tu......MAISHA NI YALE YALE!WATU WAACHE WOGAi dont wanna go into troubles with u guy. Lets discuss the mada. Kwa muda mfupi uliokaa kwenye ndoa umegundua nini, mkuu
muda ni mfupi mno KAMA ULIVYOANDIKA!...nothing can be justified.lakini nitakupa siri moja tu......MAISHA NI YALE YALE!WATU WAACHE WOGA
Kuna wakati inafika wanandoa hawaridhishani, hasa mke haridhishwi.
Nazungumzia kwa wale wanandoa ambao mume umri umeenda na utendaji umedrop sana. Bao moja jogoo haamki tena! Utakuta mke bado anatamani ila hawezi kupata na mke mwenyewe bado analipa. Akitafuta mtu wa kumkuna kuna ubaya? Anahitaji nae kutosheka.
Hii imekaaje. Hili Si suala dogo lakini
Kingi,
Inapokuja suala la kuridhishana katika ndoa (na hata kwengineko!) nadhani ishu sio 'quantity' ni 'quality'!
Kula tanoπ!
Pamoja mkuuπ! 'Kijana' anaweza piga bao hata sita lakini kama ni mbinafsi bado hawezi kumridhisha mwanamke.
Manbo haya magumu sana...
hakuna kitu kikubwa kinachobeba ndoa zaidi ya sex,umpate bibie ana sifa zote lkn mambo flani hakupi hapo kitaeleweka?tukiludi kwenye mada kama anakupa chochote utakacho na kukuheshimu na upendo wa dhati unaweza vumilia lkn mwili unakuwa huutendei haki mwili wakati mwingine akili ya kucheat inakujiaMkuu Kingi, maana ya ndoa unaifahamu vizuri kweli mkuu?
hakuna kitu kikubwa kinachobeba ndoa zaidi ya sex,umpate bibie ana sifa zote lkn mambo flani hakupi hapo kitaeleweka?tukiludi kwenye mada kama anakupa chochote utakacho na kukuheshimu na upendo wa dhati unaweza vumilia lkn mwili unakuwa huutendei haki mwili wakati mwingine akili ya kucheat inakujia