Kukimbia huondoa kitambi?

Kukimbia huondoa kitambi?

mgendege

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2020
Posts
322
Reaction score
388
Mtu anae fanya mazoezi ya kukimbia anaweza ondoa kitambi au mpaka aende jim.
 
Inategemeana na umbali wa kitambi ulipofikia

Ukiwa na kitambi kama Dj khaled au rick rose hata ukiwa na uwe unakimbia hapa na mbeya kwenda na kurudi kila siku hautabadili chochote
 
Inategemeana na umbali wa kitambi ulipofikia

Ukiwa na kitambi kama Dj khaled au rick rose hata ukiwa na uwe unakimbia hapa na mbeya kwenda na kurudi kila siku hautabadili chochote
Mkuu uko sahihi..jibu rahisi ni kwamba kukimbia hakutafanya kitambi kwisha..
 
Pitia uzi hapa chini:

 
Fanya
1- Mazoezi ya kuchoma mafuta ( kukimbia na kuruka ruka)
2- Fanya mazoezi ya kukata tumbo ( tafuta mtandaoni abdominal workouts)
3- Punguza ulaji wa vyakula vilivyosindikwa na jikite kula vyakula asili kwa kiasi na kunywa maji moto.
Vimenisaidia ndani ya mwezi tu
 
Kikubwa ni diet tu mkuu, Punguza kula vyakula vya wanga na sukari utakaa vizuri
 
Ruka kamba steps 3000 asubuhi na steps 3000 jioni.
 
Fanya
1- Mazoezi ya kuchoma mafuta ( kukimbia na kuruka ruka)
2- Fanya mazoezi ya kukata tumbo ( tafuta mtandaoni abdominal workouts)
3- Punguza ulaji wa vyakula vilivyosindikwa na jikite kula vyakula asili kwa kiasi na kunywa maji moto.
Vimenisaidia ndani ya mwezi tu
Kwenye Maji moto aongeze na limao pamoja na apple cider yenye mother hii inaelekea kunisaidia
 
Back
Top Bottom