FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
wakuu,
sasa huyu kuku anaingiaje kwenye hili jukwaa maridhawa la MMU?....
Kwanza wakati akimbiapo,unamuona kwa nyuma anavyochezesha mkia wake
ukimshika shingon na kuwmachia unaona macho yanalegea, na wazuri sana ni wale ambao hawajataga.
wakuu,
sasa huyu kuku anaingiaje kwenye hili jukwaa maridhawa la MMU?....
hahaha Natasha wewe kumbe tena kuna kuku kishingo na kuchiMM,
Sorry ulikuwa unamaanisha kuku kishingo au kuchi?
Kwanza wakati akimbiapo,unamuona kwa nyuma anavyochezesha mkia wake,alafu chenga atakazo kuwa anakupiga zitafanya ufurahi maana wakati mwingine chenga hizo ni ndogo sana kiasi kwamba ungeweza kumksmata,lkn ukishamkamata si unajua hana tena nguvu ya kukimbia?nadhani unajua kitakacho fuata kitoweo tu then baada ya kula unalala chali kwa uchovu wa kushiba!
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
...mkononi ukiwa na tooth-stick ukichokonoa mabaki ya kitoweo hicho huku ukishushia na dare 4 more...teh teh burdaaani kweli mkuuKwanza wakati akimbiapo,unamuona kwa nyuma anavyochezesha mkia wake,alafu chenga atakazo kuwa anakupiga zitafanya ufurahi maana wakati mwingine chenga hizo ni ndogo sana kiasi kwamba ungeweza kumksmata,lkn ukishamkamata si unajua hana tena nguvu ya kukimbia?nadhani unajua kitakacho fuata kitoweo tu then baada ya kula unalala chali kwa uchovu wa kushiba!
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Kwanza wakati akimbiapo,unamuona kwa nyuma anavyochezesha mkia wake,alafu chenga atakazo kuwa anakupiga zitafanya ufurahi maana wakati mwingine chenga hizo ni ndogo sana kiasi kwamba ungeweza kumksmata,lkn ukishamkamata si unajua hana tena nguvu ya kukimbia?nadhani unajua kitakacho fuata kitoweo tu then baada ya kula unalala chali kwa uchovu wa kushiba!
na mimi nakuuliza kwa nini kuku wa kizungu hakimbii anapotaka kukamatwa?
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Hili swali limekuwa likinitatiza sana.. kwanini kuna raha ya aina fulani kufukuza kuku wa kienyeji kabla ya kumfanya kitoweo?
Hakuna raha kama kumwona kwa nyuma mkia uikitingishikaπ